Unataka kunambia cariha ukiwa na hela unakuwa na kinyaa na mb.oo?Kweli ukiwa na hela yako full confidence no stress hata na umalaya unaisha kabisa. Nashauri wanawake tutafte hela zetu Ili tuwe na amani Mimi binafsi nachukia kuomba omba, sio una shida una omba mtu hela badala akupe msaada anataka akulale
Women love money while Men love sex..Kweli ukiwa na hela yako full confidence no stress hata na umalaya unaisha kabisa. Nashauri wanawake tutafte hela zetu Ili tuwe na amani Mimi binafsi nachukia kuomba omba, sio una shida una omba mtu hela badala akupe msaada anataka akulale
Sio shughuli ndogo,tra na makodi yao,manispaa na maservice levy yao.kodi za nyumba.mishahara ya wafanyakazi,afya .kuwa boss sio mchezoKutafuta pesa nako si shughuli ndogo ujue. Ndio maana wanaangalia shortcut.
Ila washikilie sana hapa
Ukiwa na hela hata nyege zinakuheshimu am singleTutakuwepo bae wote au nitakuwepo tu mimi peke yangu?
Hayo mambo tuwaache wazungu,hawa dada zetu Bado wapo kwenye wimbi la ulimbukeni...Na mkumbishane pesa haitafutwi ili kushindana wanaume...
Hela itakupa freedom ya kuwa kwenye mahusiano sahihi uliyoridhia,hela itakufanya ufanye unachotaka kwa uhuru bila kuaumbuana na mtu...
Sasa msihamasishane kutafuta hela ili muwe malimbukeni kwenye mahusiano.Mi mwanaume hanifanyi chochote,sina shida nina uweZo wa kujilisha na kujivisha jmn huo ni ulimbukeni na ushamba.Be humble sababu kuna wenye nyingi zaidi yako na wanaheshimu mahusiano.
Single and bikira![emoji1][emoji1][emoji1]Ukiwa na hela hata nyege zinakuheshimu am single
Watapata wapi mtaji bila ss kuwapa.Niseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.
Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.
Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Utampaje bila kuona ana uelekeo gani?Watapata wapi mtaji bila ss kuwapa.
Miss kuwa na shukurani bana,hapo umesema uliwachuna sana wanaume mpaka ukapata mtaji Wa juice.Utampaje bila kuona ana uelekeo gani?
Hakikisha umenipa namba ya simu kuna hela nataka unipe ili nikupeNiseme tu nilikuwa napenda hela Sana, yaani ulikuwa ukinitongoza tu unalipia.mwanaume nikitoka nae out akinirudisha asiponipa hela yaani nablock mazima .ila toka niwe na akili za kutafuta hela yaani siangalii hela ya mtu.nacheki tu hekima yake na akili zake
Mwanamke account yako ikisoma m 10 tu haki hata ndoto unazoota usiku zinabadilika.kuwa na hela raha jamani acheni.january tu unaamua umsaidie Nani au ukale bata wapi.
Kwanini utamani kupata mwanamme tajiri usiombe wewe kuwa tajiri??
Hakuna shortcut ya kupata hela.
Ushauri wangu wa mwisho kwa wanawake.usilale na mwanamme ili akupe hela.
Badala yake fanya kazi kwa bidii Sana uza hata ice cream au chapati kumi kwa siku
atatokea tu mwanaume mzuri atakuona kwenye biashara zako atakusaidia tena sio sio kwa sex. Sio lazima atokee mwanaume connection itatokea tu maana imeandikwa mguu unaotoka umefanyiwa dua na mtume ni mguu wa kupata ridhki.
Aisee[emoji16][emoji16][emoji1751]Unataka kunambia cariha ukiwa na hela unakuwa na kinyaa na mb.oo?
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Words[emoji625]Utampaje bila kuona ana uelekeo gani?
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hahahahaah.....lol!!
Kinaanzaje kuwasha na umenunua kwa pesa yako!
Angekununulia mwanaume, siku ya kwenda kuichukua na kitombo juu.