Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Toto tundu mimi hadi nikuhonge ndiyo unitaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toto tundu mimi hadi nikuhonge ndiyo unitaje?
Toto tundu mimi hadi nikuhonge ndiyo unitaje?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mimi sina chura mkuu,, wewe subiri watakutaja wanawake wenye vyura.. [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Karma
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wacha hizo bhana
Mimi wangu naleta list Yao watano.Ongeza na wengine wawili wa kwako
Karma
Mimi wangu naleta list Yao watano.
Hao watatu nawakubali ila Kwenye list yangu hawapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka nshangae, watu na vyura vyenu😀😀😀[emoji23][emoji23] [emoji85][emoji85] namtania tu
Karma
Maana yake ?
Nataka nshangae, watu na vyura vyenu[emoji3][emoji3][emoji3]
Sawa bhana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] hapana mimi sina chura ndiyo maana sijamtaja maana yeye huwa anapenda wanawake wenye vyura tu
Karma
Shukurani.Top 5 nyingine
1.Humble African
Kaka popote ulipo Rudi hapa jukwaaani,nakumiss Sana.
2.Hammaz huwa unapangilia maandishi yako vizuri
3.Waziri wa Kaskazini
Napenda jinsi unavyoshinda international forumn
4.NYEKUNDU YA BIBI
Hi I'd nikiiona tu nacheka.
Kuna Watu Kama wachekeshaji hivi
5.Kiranga
Huwa unanifanya niwaze maisha kwa namna chanya.
Nikiona maandishi yako..Ni mtu unayefikiri kwa namna chanya na SI hasi
An Optimist
Sent using Jamii Forums mobile app
Nina mengi ya kujifunza toka kwako.Shukurani.
You are far too kind.
Ikifika muda wa kutaja I'd 10 za kiume zinazoandika vitu vya maana, na mifano ya kuigwa usiache kuniita.
Shangaa na wewe, mimi nimeshangaa nimetokea optimistic positive thinker na fujo zangu zote hizi!Nina mengi ya kujifunza toka kwako.
🙏🙏🙏
Kumbe I'm kind jamani ☺😍,na fujo zangu zote hizi