Naishia namba mbili kwa leo π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Aiseee bora umentaja na nyota imesafishika.... af uishie hapo hapo namba 2 tunatosha...
Sent using Jamii Forums mobile app
Si unajua napendaga utani e?huyo namtania tu
Unajua siwezi bila wewe
Kuna watu nikiona unataniana nao sijiamini kabisa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]Naishia namba mbili kwa leo [emoji6]
Kama huyo hapo niliekua nataniana nae e?π
πππoooh maama (in sharo milionea's voice)π π