- Thread starter
- #21
Inabidi wafundishwe na waione ,kwa wapenzi wao ,daktari wa kuwaelekeza anakuwa hayupo.Wataiona kwa wapenz wao chifu😂😂😂
Ila point yako ina uzito, ni sahihi kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi wafundishwe na waione ,kwa wapenzi wao ,daktari wa kuwaelekeza anakuwa hayupo.Wataiona kwa wapenz wao chifu😂😂😂
Ila point yako ina uzito, ni sahihi kabisa
Ethics inasema hivyo ila kiuhalisia wanakoseaDogo mgongwa ana haki ya kukataa kujiachia mbele ya wanafunzi.
Ndio maana Inatakiwa muombe ridhaa yake, akikataa mtaondolewa.
Yaani hapa ndio unathibitisha ulivyo na akili mbovu kabisa.Mpo labour, mwanafunzi anataka kujifunza namna ya Ku PV unakataa
unafikiri kwa mwendo huo vifo vya wamama wajawazito vitapungua?
Mnagements za labour zinahitaji umakini wa Hali ya juu na suala la ku PV haliepukiki
Wakati Mwingine unakuta Wanafunzi wanafika hadi kumi.Ethics inasema hivyo ila kiuhalisia wanakosea
Unajua hata Ku PV maana yake Nini? unajua lengo lake Nini kuipafom?Yaani hapa ndio unathibitisha ulivyo na akili mbovu kabisa.....
Yaani unaona nisawa kwa mwanafunzi kujifunza kwa kuchezea uhai wa mama na mtoto..🤔🤔
Hakuna hizi mambo aiseeee.Mkiwa RCH mnajionaga wajanjaaa
Kikifika kipindi Cha kujifungua uchungu ukikazana mnawalilia hata hao wanafunzi wawasaidie msife
Sio kweliWakati Mwingine unakuta Wanafunzi wanafika hadi kumi.
Wote hao waone sehemu nyeti sio sawa.
Na kawaida ya wanafunzi wengi hawana maadali, wakitoka hapo wataenda kujadili hata yasiyotakiwa.
Na kumbuka Wanafunzi hawajala kiapo chan Kutunza siri za mgonjwa. Kwahiyo ni sawa kabisa.
We kijana nenda ukasome, unachokifanya hapa nikuabisha wanafunzi wenzako.Mkiwa RCH mnajionaga wajanjaaa
Kikifika kipindi Cha kujifungua uchungu ukikazana mnawalilia hata hao wanafunzi wawasaidie msife
Sehemu nyingi kuna uhaba wa madaktari.Hakuna hizi mambo aiseeee.....
Kwanza kabla ya wanafunzi kuna intern ambao tayari walisha pitia hapo ulipo wewe, tena wanafanya vizuri tu ukiacha madaktari pamoja manesi
Kijana ebu usione kama unajadili mambo ya uhai na wanafunzi wenzio. Hizo PV performance mnatakiwa mzifanye kwenye midoli.Unajua hata Ku PV maana yake Nini? unajua lengo lake Nini kuipafom?
Unajua faida na hasara ya kutojua Ku PV?
Kwahiyo kabisa na akilizako timamu unaona hizo ulizo ziweka ni sababu za msingi kabisaaaaa...😕Sehemu nyingi kuna uhaba wa madaktari.
Muda mwingine muda wa kujifungua unafika ,manesi wapo kwenye kikao.
Anakuja nesi mmoja na Hana msaidizi zaidi ya wanafunzi
Bado kuna watu wanaenda hospital hizi za vilaza?mwingine hata kufanyiwa per abdomen examination hataki ,utasikia mara ooh tumbo langu halishikwi na wanafunzi ,halafu kesho mwanafunzi huyo huyo ukimkuta Kawa daktari unalaumu kwamba hayuko competent enough
hahahahaaLabia Majora
Unawaza kuangalia sehemu za siri za wagonjwa na sio vinginevyoMwingine anaambiwa avue sidiria ili mwanafunzi aweze kufanya examination vizuri utakuta eti mgonjwa anagoma.
Sasa mtu atafanyaje respiratory system vizuri kama hutaki kuchojoa sidiria?
Siku hizi madaktari wakiume wamekuwa mafisi.Sijui kwanini hospitali huwa napenda kuhudumiwa na daktari wa kike hata kama ni kichwa tu kinauma.
kwasababu gani huwa hawataki kuhudumiwa na wanawake wenzao mkuu MD3 ?Hao wanawake huko hospitali hawataki kuhudumiwa na wanawake wenzao ila cha ajabu kipindi Cha mafunzo...
baadhi ya cases huwa ni rarely sana kuziona so zikitokea lazima wote mkimbilie mkazione jinsi ya kuzi manage.Wakati Mwingine unakuta Wanafunzi wanafika hadi kumi.
Wote hao waone sehemu nyeti sio sawa.
Na kawaida ya wanafunzi wengi hawana maadali, wakitoka hapo wataenda kujadili hata yasiyotakiwa.
Na kumbuka Wanafunzi hawajala kiapo chan Kutunza siri za mgonjwa. Kwahiyo ni sawa kabisa.
🤣🤣🤣🤣 una pv vipi kwenye mdoli?Kijana ebu usione kama unajadili mambo ya uhai na wanafunzi wenzio. Hizo PV performance mnatakiwa mzifanye kwenye midoli.
By the way sina haja ya kujua unayo paswa ama usiyo paswa kuperform.