Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wengine visiraniMedicine imekua rahisi sana siku hizi mpaka muda wa kujibishana humu unapata hapo ulitakiwa uwe wodini unapambana na history taking wewe ndio unapiga mastory halafu ishu nyingine ni confidential establish good raport utapata ushirikiano tu mgonjwa
Plse usije kufanya inspection p/abdomen uje upost huku nimeona fresh traditional therapeutic mark hizo ni siri za wewe na mgonjwa me nafahamu madr sio watu wa mijadala sana isiyo na tija
Siku Akimaliza Intern,Msije kulalama incompetence ya Madaktari..Upuuzi huu yani mwili wa mke wangu ufanyiwe majaribio? Tena nikikutaga ka intern hua namwambia incharge niletee dr mwingine!
Halafu mnaitibu uje, maana wengine huzaliwa hivyo? Au vichanga navyo havitaki wanafunzi?Kumbuka hao ni madaktari wa binadamu na binadamu ndio wewe.
Kwa hiyo inabidi wajifunze kupitia wewe.
Wakisikia Labia Majora inabidi waijue na kuiona
Na ana haki ya kukataa matibabu kwa ujumla wake.Dogo mgongwa ana haki ya kukataa kujiachia mbele ya wanafunzi.
Ndio maana Inatakiwa muombe ridhaa yake, akikataa mtaondolewa.
daktari naye binadamu ana muda wa kazi na muda wa ku refresh mindNyie ndio madokta wa mchongo tunalewa wote hadi asubuhi kidimbwi.
ujinga huu usilete kwa hospitali za kijeshiUpuuzi huu yani mwili wa mke wangu ufanyiwe majaribio? Tena nikikutaga ka intern hua namwambia incharge niletee dr mwingine!