Wanawake toeni ushirikiano mzuri kwa Madaktari wanafunzi wanapokuwa mafunzoni

Wanawake toeni ushirikiano mzuri kwa Madaktari wanafunzi wanapokuwa mafunzoni

Medicine imekua rahisi sana siku hizi mpaka muda wa kujibishana humu unapata hapo ulitakiwa uwe wodini unapambana na history taking wewe ndio unapiga mastory halafu ishu nyingine ni confidential establish good raport utapata ushirikiano tu mgonjwa
Plse usije kufanya inspection p/abdomen uje upost huku nimeona fresh traditional therapeutic mark hizo ni siri za wewe na mgonjwa me nafahamu madr sio watu wa mijadala sana isiyo na tija
 
Medicine imekua rahisi sana siku hizi mpaka muda wa kujibishana humu unapata hapo ulitakiwa uwe wodini unapambana na history taking wewe ndio unapiga mastory halafu ishu nyingine ni confidential establish good raport utapata ushirikiano tu mgonjwa
Plse usije kufanya inspection p/abdomen uje upost huku nimeona fresh traditional therapeutic mark hizo ni siri za wewe na mgonjwa me nafahamu madr sio watu wa mijadala sana isiyo na tija
wengine visirani
 
Upuuzi huu yani mwili wa mke wangu ufanyiwe majaribio? Tena nikikutaga ka intern hua namwambia incharge niletee dr mwingine!
 
Upuuzi huu yani mwili wa mke wangu ufanyiwe majaribio? Tena nikikutaga ka intern hua namwambia incharge niletee dr mwingine!
Siku Akimaliza Intern,Msije kulalama incompetence ya Madaktari..

Wagonjwa obvious wana Visirani Kibao wengine wanagoma Tushafanyiwa sana Mtihani anakupeleka OP ule wrong diagnosis uonekane Fara Uliwe Kichwa
 
Kumbuka hao ni madaktari wa binadamu na binadamu ndio wewe.

Kwa hiyo inabidi wajifunze kupitia wewe.

Wakisikia Labia Majora inabidi waijue na kuiona
Halafu mnaitibu uje, maana wengine huzaliwa hivyo? Au vichanga navyo havitaki wanafunzi?
 
Mi huwa nagombana na hivi vianafunzi, unafika hospital kanakuambia story zisizoeleweka, vingine havijui choma sindano...

Kuna mmoja nilikuwa mkali akagoma toa damu nikarudi kwa daktari ndo akamtoa mtoto damu.
 
Back
Top Bottom