Wanawake tu: Mwanaume huumia kwasababu Mwanamke wake kaingiliwa kimaumbile, kipi kinamuumiza Mwanamke BF/Mwanaume wake akichepuka

Wanawake tu: Mwanaume huumia kwasababu Mwanamke wake kaingiliwa kimaumbile, kipi kinamuumiza Mwanamke BF/Mwanaume wake akichepuka

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1636880902731.png


Nimeuvaa uhalisia nikiwa kama mwanaume, siwezi kuwaongelea wanawake na ni kosa kubwa sana wanaume huwa tunaji mwanbafai tunapokadiria mwanamke anachotaka, anachofikiria, anachopenda, hisia zake, n.k. huwezi kuuvaa uhalisia wa mwanamke wakati wewe ni mwanaume.

Kwangu mimi nikikijua kwamba mwanamke (mke / girlfriend / sidechiclk) kanisaliti kwa kutembea na mwanaume mwengine, kitu cha kwanza kitachoniuma ni kwamba kuna mwanaume mwengine ameweza kuupachika uume wake kwa mwanamke wangu.... mawazo ambayo ntakuwa ninayo kwa kiasi kikubwa yatalenga kwamba huyo mwanaume kanizidi ufundi, kanizidi nguvu za kiume, ana size ambayo mwanamke wangu kaipenda, n.k nmawazo yangu yatajikita zaidi kwenye ngono kuzidi kwenye mapenzi kwamba mwanaume huyo alimpenda sana kuzidi mimi, alimjali kuzidi mimi, alikuwa msikuvu kuzidi mimi, alikuwa mchshi kuzidi mimi n.k

Sasa nilikuwa naombeni wanawake wa humu ndani mtujuze nyie kwenu ni kitu gani huwa kinawauma mnapogundua mwanaume wako ka cheat na mwanamke mwengine?

Wanaume naombeni tusiwakadirie majibu wanawake maana sisi sio wanawake, tuwaache wazungumze wenyewe, cha kuchangia sisi labda ni kuwauliza maswali tu
 
The same

Usaliti....

Ulitamani/kupenda


Ukatongoza na wengine hufikia kuwananga wake zao kwa mahara

Ukajipanga mkatafuta hata hoteli vichochoroni ili mkazini
Na mlango mkafunga....

Mkavuana nguo

Mkananiliu kila style
 
Wala hatuumii jaman kikubwa hela tu kama kaamua kuwa cheap si ni yeye au wanaume wanahisigi wakiwa wanalala ovyo na kila mwanamke ni sifa hiyo inaonesha ni namna gan uko cheap
 
Anampa vitu ambavyo unahitaji akupe wewe...muda,mapenzi,attention,hela nk

why?!..

Havizungumziki hadi akaona atoke?!
 
Back
Top Bottom