Wanawake tu

Wanawake tu

Hivi nimeelewa kweli?🤣🤣🤣🤣
 
Labda demi ataweza kunifunda gubegube mie.
Ila kama ndoa ndio ziko hivi, acha nibaki kuwa mlupo.
Nilichoka uhawara, nikasema kajitokeza mtu, tena wa Jf ambae anajua mikiki yangu ya jukwaani huenda atanivumilia na kuona kama kawaida...kumbe ndo natoka kwenye afadhali...nakimbilia kwenye potelea mbali.

manengelo huwezi amini, mwili ninao mimi ila ratiba ya mwili wangu anaipanga mtu mwingine.
Napangiwa wa kuongea nao
Napangiwa mada za kuchangia
Napangiwa nguo za kuvaa
Napangiwa vyakula na vinywaji gani nitumie
Napangiwa jinsi ya kuongea
Napangiwa mpaka moyo wangu uwe na nani kirafiki...hapana.
Halafu mbaya zaidi nikaambiwa nijiunge na makanisa ya kiroho.
Mimi Mkatoliki safi...hayo ya akina Mwamposa nayawezea wapi?

Nimerudi zangu kwa hawara yangu.
Niko tuliiiii.....mpaka muda huu nachati bila wasiwasi
Aisee..
 
Labda demi ataweza kunifunda gubegube mie.
Ila kama ndoa ndio ziko hivi, acha nibaki kuwa mlupo.
Nilichoka uhawara, nikasema kajitokeza mtu, tena wa Jf ambae anajua mikiki yangu ya jukwaani huenda atanivumilia na kuona kama kawaida...kumbe ndo natoka kwenye afadhali...nakimbilia kwenye potelea mbali.

manengelo huwezi amini, mwili ninao mimi ila ratiba ya mwili wangu anaipanga mtu mwingine.
Napangiwa wa kuongea nao
Napangiwa mada za kuchangia
Napangiwa nguo za kuvaa
Napangiwa vyakula na vinywaji gani nitumie
Napangiwa jinsi ya kuongea
Napangiwa mpaka moyo wangu uwe na nani kirafiki...hapana.
Halafu mbaya zaidi nikaambiwa nijiunge na makanisa ya kiroho.
Mimi Mkatoliki safi...hayo ya akina Mwamposa nayawezea wapi?

Nimerudi zangu kwa hawara yangu.
Niko tuliiiii.....mpaka muda huu nachati bila wasiwasi
Ha haaa shenzi kabisa wewe
 
manengelo mshenga wangu mbona mimi kama hii mada naielewa ndivyo sivyo!! Au kwavile akili yangu inawaza ujinga?!!!!🙆🙆🙆🙈🙈🙈🙈
 
manengelo mshenga wangu mbona mimi kama hii mada naielewa ndivyo sivyo!! Au kwavile akili yangu inawaza ujinga?!!!!🙆🙆🙆🙈🙈🙈🙈

.yaan ww ndo mjinga😂!umezoea kurudi kinyume nyume eh..hii sio kinyume nyume ww...tembea kifua mbere
 
Hahahaaa!! Kwa ruhusa ya mshenga naomba nitekeleze vile nilivyoelewa😜😜

tekeleza mama... maisha ndo haya haya..ila serious niliambiwa na mama wa kicjaga alikua serious ww!ingawa mm nilikua nacheka!nie nayatelekza mubashara😶
 
tekeleza mama... maisha ndo haya haya..ila serious niliambiwa na mama wa kicjaga alikua serious ww!ingawa mm nilikua nacheka!nie nayatelekza mubashara😶
Tena kama ni mama wa kichaga basi nalichukua kama lilivyo, hawakoseagi wale.
 
Back
Top Bottom