Wanawake tu

Wanawake tu

Wamama oyee...

Jamani kukumbushana mara moja moja sio mbaya kuna katabia kabovu kweli kweli wamama tumekuwa nako mdada umeolewa fresh na mumeo..umejikuta mumeo kila siku analeta mboga ya maharage nyumbani kwako..ya nini kumpigia makelele kisa analeta mboga hyo hyo

Hebu ifike jaman mahali wanawake tuache midomo.. .midomo yetu inawafanya waume wetu wawe mbali basi wajitenge watubague[emoji4][emoji4] wawe bize na la liga[emoji4] jitahidi sana mwanamke mwenzangu kuziba mdomo Mumeo anakupa maharage kila siku chomoka nenda kwa jirani tafuna nyama ,vimshikaki.kabeji,dagaa,sweetpie futa mdomo wako na tishu rudi ndani kimya....! angalia sana.

umekula nyama kwa jirani ww unaturudia nyumbani na toosipiki ili iwaje kwa mfano! chokonoa nyama kwenye meno yako hakikisha umerudi nyumban kwako hunukii nyama..upo smart... unataka kumuonesha nani kuwa umekula mishikak yenye ajinamoto[emoji57][emoji57][emoji57]!jirekebishe mwanamke mwenzangu.. acha vichambo kwa mumeo.acha gubu bibi wee..!fanya maisha yawe mepesi[emoji4][emoji4][emoji4]!


...mjumbe hauawi..

#2020twende na MEMBE
#2020 tunatakaSerikaliYaUmojaWaKitaifa[emoji14]!


..nb!ntashangaa mwanaume ukitokwa povu hapa labda uwe unavuja[emoji57][emoji57][emoji57]!


cc
demi
MOTHER Confessor
Me wa kwangu anapenda maharage kuliko hata nyama. .nikipika maharage na nyama anakula maharage.... Kwa hiyo wengine wanaleta tu maharage kwa sababu wanapenda
 
harage ukiliunga fresh taamu unlitupia na vitangawizi na vithomu[emoji4]
Bila kusahau katui ka nazi....yaan ndiyo maana yeye anapendaga kuliko hata nyama hahahahahahahaha...ila sijawahi mwelewa me nyama ndiyo mpango mzima
 
Back
Top Bottom