Wanawake tu

[emoji23][emoji23]

Sawa
 
Hivi nimeelewa kweli?๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Aisee..
 
Ha haaa shenzi kabisa wewe
 
manengelo mshenga wangu mbona mimi kama hii mada naielewa ndivyo sivyo!! Au kwavile akili yangu inawaza ujinga?!!!!๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ
 
manengelo mshenga wangu mbona mimi kama hii mada naielewa ndivyo sivyo!! Au kwavile akili yangu inawaza ujinga?!!!!๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

.yaan ww ndo mjinga๐Ÿ˜‚!umezoea kurudi kinyume nyume eh..hii sio kinyume nyume ww...tembea kifua mbere
 
Hahahaaa!! Kwa ruhusa ya mshenga naomba nitekeleze vile nilivyoelewa๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜œ

tekeleza mama... maisha ndo haya haya..ila serious niliambiwa na mama wa kicjaga alikua serious ww!ingawa mm nilikua nacheka!nie nayatelekza mubashara๐Ÿ˜ถ
 
tekeleza mama... maisha ndo haya haya..ila serious niliambiwa na mama wa kicjaga alikua serious ww!ingawa mm nilikua nacheka!nie nayatelekza mubashara๐Ÿ˜ถ
Tena kama ni mama wa kichaga basi nalichukua kama lilivyo, hawakoseagi wale.
 
Tena kama ni mama wa kichaga basi nalichukua kama lilivyo, hawakoseagi wale.

๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚wale wameadvance... hawakawii... kitu pah!unaanza kula mali mwenyewe๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ