Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

Wanawake tujitahidi tuwape waume zetu mambo matamu kama tuliyokuwa tunawapa kabla hawajatuoa

Hivi unaanzaje kumnyima mmeo utamu?
Kitambi uote wewe maringo ulete wewe,wakati mchepuko anasubiri kwa ukaribu.Mchoshe huyo mbaba akienda huko anakuwa mchovu
 
Hivi unaanzaje kumnyima mmeo utamu?
Kitambi uote wewe maringo ulete wewe,wakati mchepuko anasubiri kwa ukaribu.Mchoshe huyo mbaba akienda huko anakuwa mchovu

[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kwa hiyo wewe huwa unamchosha mbaba wako eeh??? ili akienda huko uchepukoni awe mchovu???
Daah, I wish I could be that lucky mbaba of yours, ili unichosheeeeeeee [emoji41]
 
Hahaa mnatupa kifo cha kokroch,kwichikwichii mwaka mzima style hiyo,lazma niongezee wenzako wawili wakusaidie wewe lea familia
 
Mkuu vipi wewe je unakumbuka kuutimiza huu wajibu lakini???
Vipi dawasco bado unayo??
Kama umechoka kidogo tu hata kichwa??? [emoji2][emoji2]
Je bado unakula lollipop na naniliu zake kama huna akili nzuri?? [emoji41]
Unaongea na Mimi unaongea na simu???
 
Kifo cha mende
Napenda sana kifo cha mende kuliko staili yoyote ile. Mke wangu na michepuko yangu yote huwa natumia kifo cha mende. uzuri wa kifo cha mende ni kuwa, kifo cha mende ni staili pekee ambayo inaruhusu mbo....iingie yooote na kama kungekuwa na uwezekano, hata mapumb.... yangeweza kuingia. pia kifo cha mende huwezesha wahusika wote wawili ktk mechi muweze kuonana na zile gestures za kimapenzi zionekane live. kifo cha mende pia huwawezesha wadau wa gemu kuweza kukumbatiana na kupeana joto na hivyo kuongeza uwezo wa kupiga mzigo. kifo cha mende hoyeeeee.
 
Hahaa mnatupa kifo cha kokroch,kwichikwichii mwaka mzima style hiyo,lazma niongezee wenzako wawili wakusaidie wewe lea familia
Tatizo ni wewe na yeye, nyie ongeeni tu muweke mambo sawa unadhani nae akichepuka anapekeka kifo cha kokroch? Ni mastaili yake aliyoyaficha kabatini teh kwahiyo kumbushaneni mpeane vitu vizuri vizuri mchepuko ni temporary solution
 
Napenda sana kifo cha mende kuliko staili yoyote ile. Mke wangu na michepuko yangu yote huwa natumia kifo cha mende. uzuri wa kifo cha mende ni kuwa, kifo cha mende ni staili pekee ambayo inaruhusu mbo....iingie yooote na kama kungekuwa na uwezekano, hata mapumb.... yangeweza kuingia. pia kifo cha mende huwezesha wahusika wote wawili ktk mechi muweze kuonana na zile gestures za kimapenzi zionekane live. kifo cha mende pia huwawezesha wadau wa gemu kuweza kukumbatiana na kupeana joto na hivyo kuongeza uwezo wa kupiga mzigo. kifo cha mende hoyeeeee.
Ni kweli unachosema ila sasa isiwe Jan to December, jtatu to ijumaa..
Halafu uzuri wa hizo styles hauhitaji kujikoki kama unacheza kung fu, ukinyoosha mguu ni style, ukiukunja tayari style, ukiuinua style tayari hata hiyo kifo cha mende ukiifanyia namna tayari inakua style nyingine ambayo ni advanced kifo cha mende.
 
Ni kweli unachosema ila sasa isiwe Jan to December, jtatu to ijumaa..
Halafu uzuri wa hizo styles hauhitaji kujikoki kama unacheza kung fu, ukinyoosha mguu ni style, ukiukunja tayari style, ukiuinua style tayari hata hiyo kifo cha mende ukiifanyia namna tayari inakua style nyingine ambayo ni advanced kifo cha mende.
nimekupata vizuri sasa. Kumbe mimi basi napenda kifo cha mende na maboresho yake yoote. na siku ikitokea ukanipa Evelyn Salt, basi unipe kifo cha mende au maboresho ya kifo cha mende
 
Hatukatiki jamani wenzenu tunamishono,,,,,,hhahahahahaahaaa
 
Weweee ukiona mwanamke kabadirika jua na Mme kabadirika
 
Unakumbuka enzi zile unaitwa girl friend, fiancee na majina kedekede matamu matamu? Unakumbuka sex life ilivokua amazing, purukushani kitanda kinakoma raha twenty four seven, ukiguswa tu dawasco pwaaaaaaa akikukiss hoi tu, bilinge bilinge jikoni, sebleni, bafuni, kibarazani, hata makochi tu ni mashahidi ile meza pale dining ingeweza kusimulia. Unajituma mwanamke unajituma si kitoto, roll pop na nanii zake unakula kama huna akili nzuri.
Zikigusana ni inakua kama umefungwa mota kiuno kinazunguka nyuzi 360, utapitisha mkono huku hivi kugusa gusa nanii zile zikinanii, mastaili sasa salaaaleee enzi hizo kifo cha mende hukijui ni nini.

Haukuwahi kuwa katika silent mode hata siku moja, ulikua na milio mingi kama kinokia cha tochi (japo muda mwingine ni kilio cha wizi, men please mtusamehe) ukimwaga sifa kibao tena kwa kiingereza kiswahili kinajifichaga muda huo "ooohh I like it ooh yes, so sweet bla bla bla nae akikusindikiza na kibao cha huku hivi pwaaa. My ladies hivo vitu vinafurahisha again vinafurahishaaa na nna uhakika vilihusika sana kumfanya jamaa akuweke katika list yake ili ajifaidie.


Baada ya mabadiliko from fiancee to wife hapa ndipo shida ilipo jamaa anajua ndo kakuweka ndani ajilie vizuri kumbe we umeingia ndani huduma zimeisha, sex ndo tatizo kuliko yote ni kifo cha mende masika hadi kiangazi, mambo ya kukatika hakunaga ni kitandani kila siku ya kalenda ni silent mode hadi siku ya talaka. Sio fair jamani sio fair, ni kweli tunachoka, tunamajukumu, tunalea tunashindwa kufanya kwa uhuru kama zamani, tunawazoea waume mshawasha unapungua ila tujitahidi sio mbaya hata katika zile mara mbili za wiki ukamrudisha enzi uboyfriend na ufiance mpe vile vitu vizuri vizuri vitamu vitamu alikuaga akipata, mara moja moja watoto wakatembee umpigie zile kelele ni kimya kimya kama vile hausikii utamu!!!

Kila siku baba wa watu aombe ombe kama anaomba nini sijui, mara hutaki kuremove nguo we dada wewe kukiss hakunaga tena, huko migodini hakuzamiki tena, ni kimoja tu cha staili ya serikali kifo cha mende imetoka sio poa, wenzi wetu wanahitaji sana hizo na inawezekana uhitaji wao wanatuzidi, tuwape tuwaburudishe, usimnyime Mme kama hauna sababu ya msingi hata kama umechoka kidogo tu hata kichwa...na nyie wanaume!!! Nyie wanaume mjiangalie oooh!!!!
Nlikukua nawakumbusha tu, Alamsik.
Murua murua kabisa
 
Dah ndio maana sioi maana hizi purukushani sio poa kuoa ni zamani
 
Asante kwa somo zuri Evelyn, lakini nadhani katika maisha yangu sitasahau ajali ya MV Bukoba, maana naamini wanawake unaowataja wote walikufa kwenye ajali hiyo, wachache waliobaki ndo wameishia kwenye ajali ya Treni Dodoma na MV Nyerere juzi.
 
Asante kwa somo zuri Evelyn, lakini nadhani katika maisha yangu sitasahau ajali ya MV Bukoba, maana naamini wanawake unaowataja wote walikufa kwenye ajali hiyo, wachache waliobaki ndo wameishia kwenye ajali ya Treni Dodoma na MV Nyerere juzi.
Huyo huyo ulienae ndio mwanamke mtizame kama binadamu na sio malaika, kama sio mzuri ilikuaje hadi ukafanya uamuzi wa kua nae
 
Back
Top Bottom