Wanawake tulio single tuweni makini na hili

Wanawake tulio single tuweni makini na hili

Ujasiri wa kwenda kwa mpenzi wako sijui ME tunautolea wapi....ndo haya unafumwa na anayemlipia hicho chumba mwishowe unageuzwa halwa!
 
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo, lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana.

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usithubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako, hasa mpenzi wako. Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako.

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako.

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1. Mwanaume ni lambalamba. Leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha; ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara, bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke.

2. Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano, akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari, na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi.

3. Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako, kazi yako ni kupikia mashem

4. Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5. Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako, utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka, ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe.

6. Wanaume walivyo wajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu, na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba.

7. Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha.

Wanawake tushituke, tusifanye makosa.

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukathubutu, utaumia na utakwama sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
No.6 " Wanaume walivyo wajinga" .Mwanaume/wanaume waliowahi kuwa na wewe wanajua kuwa unawaona wajinga?
 
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo, lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana.

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usithubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako, hasa mpenzi wako. Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako.

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako.

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1. Mwanaume ni lambalamba. Leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha; ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara, bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke.

2. Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano, akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari, na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi.

3. Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako, kazi yako ni kupikia mashem

4. Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5. Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako, utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka, ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe.

6. Wanaume walivyo wajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu, na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba.

7. Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha.

Wanawake tushituke, tusifanye makosa.

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukathubutu, utaumia na utakwama sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi fikra zilizowasilishwa hapa zimekaa kwenye mtazamo hasi kwa sehemu kubwa........duh pole sana!
 
Umeandika ukweli ila tukishafall in love tunasahau yote hayo ndio kwanza nae anapewa funguo

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani mimi ni date nawewe mwaka mzima nisijue unapoishi kweli??
Kuweni serious kidogo.

Kujua unapoishi ni lazima na ni namna pia ya kujua kama ni future wife material.
Sema siwezi kuja kulala wala kujiachia kwako never
Labda kama mnawazungumzia "Wavulana"
 
😅😄😃🤣😂😁😀😅😄😃🤣😂😁😀😘😍☺😚😊😙
 
Sasa wanaume wa saivi ndo wanapenda kitonga, hivyo wameguswa kunako.
Viben10 hili ni jambo lenu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo, lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana.

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usithubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako, hasa mpenzi wako. Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako.

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako.

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1. Mwanaume ni lambalamba. Leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha; ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara, bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke.

2. Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano, akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari, na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi.

3. Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako, kazi yako ni kupikia mashem

4. Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5. Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako, utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka, ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe.

6. Wanaume walivyo wajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu, na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba.

7. Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha.

Wanawake tushituke, tusifanye makosa.

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukathubutu, utaumia na utakwama sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
bilashaka yamekukuta!!!!
 
Kwa staili hii bado mtafeli sana wanaume si wajinga kiasi hicho, labda wavulana! Huwa hatujengi kibanda, siku ya kwanza nikikaa na wewe dakika tatu zanitosha kujua hapa nimekutana na mkali kwanza, jambazi, mwehu, tegemezi, tapeli, ama wife material, baada ya hapo nitajua niende na wewe vipi. Sisi tunawinda lakini wanawake ni wawindaji wazuri zaidi. Ukilijua hili mambo ni laini kabisa, unaweza kuwa katika mahusiano japo huusiani nayo kivile.
🔒
 
Back
Top Bottom