Triple G
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 3,018
- 4,369
yangu ni migumu kidogo ya kiume..ila yako ni very soft and nice
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yangu ni migumu kidogo ya kiume..ila yako ni very soft and nice
Acha kusifia mzee weye[emoji28][emoji28]yangu ni migumu kidogo ya kiume..ila yako ni very soft and nice
🤔 sio nasifia ndo ukweli huo!! kama utakua availble mjini Daslam hapa tutafutane tunaweza kuwa rafiki wazuri!! By the way unaonekana mkalimu😃
We umemaliza asipokuelewa wewe basi tena. Inaelekea kumbe hatujui huyu. Yaani sina haja ya ku comment tena .Kwa staili hii bado mtafeli sana wanaume si wajinga kiasi hicho, labda wavulana! Huwa hatujengi kibanda, siku ya kwanza nikikaa na wewe dakika tatu zanitosha kujua hapa nimekutana na mkali kwanza, jambazi, mwehu, tegemezi, tapeli, ama wife material, baada ya hapo nitajua niende na wewe vipi. Sisi tunawinda lakini wanawake ni wawindaji wazuri zaidi. Ukilijua hili mambo ni laini kabisa, unaweza kuwa katika mahusiano japo huusiani nayo kivile.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] laivu kabisa loh[emoji848] sio nasifia ndo ukweli huo!! kama utakua availble mjini Daslam hapa tutafutane tunaweza kuwa rafiki wazuri!! By the way unaonekana mkalimu[emoji2]
NB: mimi ni kijana tu But I can quench ur thirsty if possible...[emoji2]
ok ngoja nisogee nje ya kamera!!😃
Wewe unawajaza upepo wenzio ambao hawaja olewa nimekushtukia!! Sisi wanaume huwa tunasema nina gelofurendi, tosha!!🤣 🤣 🤣 🤣 sjawai kujua kama nafasi ya girlfriend/ boyfriend inatambulika officially ila sjawai kuona nafasi zao hata kwene maandishi
🤣 🤣 🤣 🤣 kabla sjaolewa nlikuwa nasema niko single siku zote siezi kujieka bond kwa boyfriend nikazibia wengine bhana....Wewe unawajaza upepo wenzio ambao hawaja olewa nimekushtukia!! Sisi wanaume huwa tunasema nina gelofurendi, tosha!!