Wanawake tulio single tuweni makini na hili

Wanawake tulio single tuweni makini na hili

6,Wanaume walivyowajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu ,na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba
Duh. Sisi wanaume kwakweli tupo wajinga sana
 
Huu ni ubaguziii, hapo utakuwa unajibagua, ukimpenda kidum mpende jinsi alivyo, usiangalie leo pia kuna kesho. Huku kujificha ficha kutakufanya akukimbie mapema. Hakuna mtu anayependa kuwa singo bali ni ww umependa, Ukiwa unakea vizuri na mwanaume naye anakea ukichukulia izee nayey anachukulia izeee.

Chai ikiiva imeiva, ila chai haina ukoko
Ana ulimi utamu - Ana maneno matamu Mwanaume

Sent using Jamii Forums mobile app
Usipime mwanaume hata siku moja 😂 mwanaume nikiumbe kingine kabisa.
 
Hahahahaha unafundisha mabahari wenzako sio
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo

Lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usidhubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako hasa mpenzi wako

Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1,Mwanaume ni lamba lamba ,leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha ,ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke

2,Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano ,akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari,na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi

3,Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako,kazi yako ni kupikia mashem

4,Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5,Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako ,utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka,ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe

6,Wanaume walivyowajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu ,na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba

7,Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha

Wanawake tushituke,tusifanye makosa

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukadhubutu ,utaumia na utakwama sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 huu uzi bana acha tu niishie kucheka
 
Hivi Kuna mwanamke yupo single kweli..? Ngumu kumesa! Labda awe mbibi,mnaposema mwanamke kuwa single siwaelewi labda useme mpo likizo!!

Hayo maswala mengine mabaharia tutakaa tujue tuna solve vipi...
Hivi kama hauna ndoa ukiulizwa marital status officially unasemaje
 
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo

Lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usidhubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako hasa mpenzi wako

Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1,Mwanaume ni lamba lamba ,leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha ,ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke

2,Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano ,akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari,na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi

3,Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako,kazi yako ni kupikia mashem

4,Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5,Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako ,utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka,ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe

6,Wanaume walivyowajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu ,na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba

7,Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha

Wanawake tushituke,tusifanye makosa

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukadhubutu ,utaumia na utakwama sana

Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa uko single alafu ukaribishe tena mpenzi wako wakati uko single
Alafu hakuna mwanamke alie single duniani tusiganganyane
 
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo, lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana.

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usithubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako, hasa mpenzi wako. Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako.

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako.

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1. Mwanaume ni lambalamba. Leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha; ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara, bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke.

2. Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano, akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari, na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi.

3. Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako, kazi yako ni kupikia mashem

4. Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5. Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako, utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka, ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe.

6. Wanaume walivyo wajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu, na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba.

7. Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha.

Wanawake tushituke, tusifanye makosa.

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukathubutu, utaumia na utakwama sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukishakubali kutumika kama chombo cha kumstarehesha mwanamume ujue umejimaliza mwenyewe. Mapenzi ni kikohozi, hakuna mwanamke yeyote DUNIANI awezaye kuishi hizo kanuni labda kupitia keyboard.

Ufanye nini basi? Acha kugawa uchi wako hovyo ndipo hapo mwanamume sahihi atajitokeza kutaka ndoa. Vinginevyo utaendelea kuwapata dungadunga tu, wanakula na kupangusa kisha wanasepa zao.

Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
 
Aliekudanganya nani sisi wanaume tunaweza gharmikia vyote hivyo hadi kodi ya mwaka ukalipiwa lakini lengo letu ni kukukojolea mara moja tuu na unaachwa/kuachiwa vyote na usinione
Si mbaya kuwa kwenye mahusiano na mwanaume maana inapaswa iwe hivyo, lakini kwa wanawake tulio single tuwe makini sana.

Unapochagua kuishi pekee yako kwenye nyumba yako uliyopanga au uliyojenga usithubutu kamwe kumkaribisha mwanaume nyumbani kwako, hasa mpenzi wako. Bora uwe unaenda kwake kuliko yeye kuja kwako.

Na pia usikubali akupangishie ni kosa kubwa sana na hilo bora upange mwenyewe ila kama ni kumuomba hela ya pango uwe unamuomba kwa njia nyingine ila usimwambie ni pango itakuwa kero hapo nyumbani kwako.

Yafuatayo yanaweza kukupata kama utaruhusu kinyume chake hapo juu

1. Mwanaume ni lambalamba. Leo utamkaribisha kwako kesho amekuacha; ni aibu iliyoje hicho kitanda kulaliwa na wanaume tofauti tofauti kila mara, bora yeye awe anabadilisha wanawake kwake kuliko wewe mwanamke.

2. Ni marufuku mwanaume yeyote kuja kukusalimia kwako hata kama hampo naye kwenye mahusiano, akikukuta na mwanaume mwingine ndani utakuwa ugomvi wa hatari, na wanaweza akakuumiza akihisi aliye kukuta naye ni mpenzi.

3. Mwanaume atadhani amekuoa,yaani hapo kwako itakuwa kwake,atakutawala balaa,na atakuwa anawaleta marafiki zake hapo kwako, kazi yako ni kupikia mashem

4. Na kama ni mume wa mtu, dunia haina siri,unaweza ukakamatwa ugoni ikawa shida

5. Kama umemchoka mwanaume na unataka uachane naye inakuwa ngumu kumuacha maana kila dakika atakuja kwako, utakuwa unamkuta kitandani kwako amelala hata unune kiasi gani hawezi akaondoka, ugomvi ugomvi ambao utakuwa unaumia wewe.

6. Wanaume walivyo wajinga ukishamkaribisha kwako anawatangazia wanaume wengine ubabe wa kuonekana kwangu, na hujionyesha kwa majirani kuwa yeye ndo baba mwenye nyumba.

7. Wengine mkikosana atataka akunyang'anye vyombo au assets ambazo umenunua mwenyewe au alikununulia na kukuebisha.

Wanawake tushituke, tusifanye makosa.

Kama hujawa wa kuolewa ila unataka kuwa na mpenzi,mkutane huko hotel au kwake kama na yeye yupo single lakini kwako usije ukathubutu, utaumia na utakwama sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom