Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mtazamo wake lkn mm naona kutii ndio kazi yamwanamkeKweli, ndivyo inatakiwa kuwa..
Lkn mtoa mada (ambaye ni Ke) kasema Ke hawezi kuheshimu wala kumtii mume asiyempenda!!!
Angalia mwenzio mwingine anavyosema hapa..
👇👇
When poverty enters through the door, love escapes through the windowWacha wanipe vijembe tu mkuu lakini ni ukweli kabisaa bila kupepesa macho
Kwa hiyo sasa mbona mnatudanganyagga oh nakupendaNi mtazamo wake lkn mm naona kutii ndio kazi yamwanamke
Hio point ya hela sio relevant ndo maana maskin na watu wa Kawaida Wanamiliki wanawakeShida ni kwamba huyo mwanamke kwenye kushawishika akakubali, anakua ameshawishika na vitu vingi mfano upendo wa kweli au fedha na marupurupu mengine ambayo yakipotea ndoa inaweza kwenda mrama,, hii ni tamaa ya fedha.
Lakini pia mwanaume huyuhuyu aliependa anakuja kupenda tena mwanamke mwingine na kusahau kuwa alishapenda mtu hapo mwanzo, anatelekeza nyumba na hata kama alizaa vitoto anakua Hana habari navyo.
Hapo ndipo nliposema kuwa uwezo mdogo wa kudhibiti tamaa. Ni jukumu la Kila mmoja kutunza mahusiano yake yawe mazuri.
[emoji28][emoji28][emoji28]When poverty enters through the door, love escapes through the window
Sio kweli kwa 100% kwa point yako watu maskin na WA Hali ya chini wasingekua na wake na matajiri ndoa zao zisingekua zinavunjika mahusiano ili yadumu ni mjumuisho wa mambo mengi sio hela tu, Kuna caring, kuhandle ya mapungufu ya mwenzako n.kWhen poverty enters through the door, love escapes through the window
Lipo jambo linalomfabya amkubali na pia hao maskin unaosema wanawapata maskin wenzao so lazima mambo yaende sawaHio point ya hela sio relevant ndo maana maskin na watu wa Kawaida Wanamiliki wanawake
Alafu mwanamke anaweza mkubalia mwanaume hata yeye mwenyewe hajui ni sababu hipi iliyomfanya amkubalie mwanaume
Sio kweli kwa 100% kwa sababu watu maskin na wa hali ya kawaida wasingekua na wake na matajiri ndoa zao zisingekua zinavunjika mahusiano ili yadumu ni mjumuisho wa mambo mengi sio hela tu, Kuna caring, kuhandle ya mapungufu ya mwenzako n.k[emoji28][emoji28][emoji28]
Kuna jamaa alikua konda na akamuoa mtoto wa tajiri wanawake hawajulikani ni nin wanachotakaLipo jambo linalomfabya amkubali na pia hao maskin unaosema wanawapata maskin wenzao so lazima mambo yaende sawa
Hatujakataaa kuna mambo mengi. Katika mambo mengi hayo, tafiti mbali mbali zimeeleza kuwa sababu inayoongoza kwa ndoa duniani kutetereka ni ukosefu wa pesa ndani ya nyumba.Sio kweli kwa 100% kwa point yako watu maskin na WA Hali ya chini wasingekua na wake na matajiri ndoa zao zisingekua zinavunjika mahusiano ili yadumu ni mjumuisho wa mambo mengi sio hela tu, Kuna caring, kuhandle ya mapungufu ya mwenzako n.k
Hahahaha kinda inawezekana alikua na show Kali on bed. Wanawake wanataka vyote show na pesa piaKuna jamaa alikua konda na akamuoa mtoto wa tajiri wanawake hawajulikani ni nin wanachotaka
Matajiri ndo wengi wao ndoa zao hazidumu na ndo wanatongoza kwa michepuko na hawa sababu ni ninHatujakataaa kuna mambo mengi. Katika mambo mengi hayo, tafiti mbali mbali zimeeleza kuwa sababu inayoongoza kwa ndoa duniani kutetereka ni ukosefu wa pesa ndani ya nyumba.
Kuna rafiki yangu anafanya kazi kampuni moja ya wauza condom. Katika tafiti zao moja hapa nchini, wake kwa zaidi ya 60% waliochepuka kwenye ndoa zao walisema sababu ni kwamba walishawishika na hela za huyo mwanaume mwengine.
These are facts we need to deal with not opinions to be debated.
Legendary naona unatoa wosiaWhen poverty enters through the door, love escapes through the window
Nikutolee mfano Kuna jamaa alikua kwenye coma tokea mwaka wa 80's amefariki juzi miaka yote hiyo mke wake hakumkimbia na alikua kila siku ana mhudumia na akumkimbiaHahahaha kinda inawezekana alikua na show Kali on bed. Wanawake wanataka vyote show na pesa pia
Mwanamke anaolewa na yoyote aliye tayari kumuowa, ilo swala la kumpendaa ni swala la mwanaume vile atakavyoteka hisia za mwakamke, mwanaume ukitumia pesa au Mali kumteka mwanamke basi utalia siku zote kwenye ndoa yakooNimegundua ndoa nyingi hazidumu kwa sababu wanawake wengi wameingia kwenye ndoa na wanaume waliokuwa tayari kuwaoa na sio wale wenye mapenzi ya dhati kwao.
Inatokea unampenda mwanaume ila hakuoi .anatokea mwingine anatangaza ndoa inabidi ukubali .muda nao haucheleweshi matokeo
Ndoa inakuwa ndoana maana hakuna feelings wala nidhamu.
Ni ngumu mwanamke kusex na mtu asiempenda,ni ngumu kumuheshimu mwanaume usiempenda.
Mbaya zaidi itokee huyo mwanaume alipendewa fedha na fedha imeisha ,basi hyo ndoa ni inakuwa jehanum kabisa
Hazidumu kwa sababu mbili kuu.Matajiri ndo wengi wao ndoa zao hazidumu na ndo wanatongoza kwa michepuko na hawa sababu ni nin
Ah haya tumeyaona na tumeyapitia. So mie bwana wala sitaki story nyingi tafuta hela uwale warembo basiLegendary naona unatoa wosia
Nakukumbusha Kuna Wanaume hawana hela Ila wanagonga mademu vibaya mno zaid hata ya wenye helaAh haya tumeyaona na tumeyapitia. So mie bwana wala sitaki story nyingi tafuta hela uwale warembo basi
HAO WAMEVUKA MTIHANI YA NDOA WANASTAHILI KUOANA. WABARIKIWE SANA, HA HA HA.Kwa wale walio wa katoliki, mnachoita ndoa au harusi.... wale wanasema "kubariki ndoa"
Kumaanisha ndoa ni pale mbususu inaporaruliwa. Hayo mengine ni siasa.
Mi naona ndoa ni vizuri kuifunga pale, mshakula chumvi ya ku shato. Maanake mshavuka kwote uko, mnakaribia kustaafu.