Wanawake tunataka 50/50 kwenye mission za vita huko DR, Sudan na Chad !

Wanawake tunataka 50/50 kwenye mission za vita huko DR, Sudan na Chad !

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Imekuwa ni kawaida wanawake kudai haki sawa kwenye uteuzi, tukidai uwazi, upendeleo , kuwezeshwa na makongamano mengi , Bunge na mengine mengi lakini tupo nyuma kwenye kudai KUINGIZWA VITANI FRONT LINE, kupigana na M-23, kuingia machimboni.

Covid-19 wamekaa bungeni, zaidi ya miaka 15 na bado wanataka kurudi eti wamewezeshwa.

SASA, wadau, tuikumbushe serikali kutupeleka vitani na kulinda amani huko DRC.
 
Imekuwa ni kawaida wanawake kudai haki sawa kwenye uteuzi, tukidai uwazi, upendeleo , kuwezeshwa na makongamano mengi , Bunge na mengine mengi lakini tupo nyuma kwenye kudai KUINGIZWA VITANI FRONT LINE, kupigana na M-23, kuingia machimboni.

Covid-19 wamekaa bungeni, zaidi ya miaka 15 na bado wanataka kurudi eti wamewezeshwa.

SASA, wadau, tuikumbushe serikali kutupeleka vitani na kulinda amani huko DRC.
Una hoja usikilizwe
 
50/50 ni korasi za barabarani tu hasa kwenye amani utasikia, jambazi wameingia ndani huwezi isikia hiyo 50/50 hata kwenye kuua mende na panya ndani huwezi kuisikia hiyo 50/50 sembuse kwenda huko Kongo?
 
Infantry sidhani kama mtaweza kupambana na wanaume, jeshi lingekuwa na air force ya maana at least mnaenda kama marubani.
 
Labda km mnaenda kutoa burudani kwa wanaume ili wazidi kupigana sawa..!!😹

We are finished!!! Chinese have taken over our only functioning industry
 
Back
Top Bottom