Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Mwanaume inatakiwa aishi na mwanamke kwa akili. Hivyo ni vyema mwanaume ajipime kiwango chake cha akili ili awe na mke wanaetoshana. Yeye ashagundua la3 C ndio wanatoshana, basi asijumuishe wanaume wote kwenye kikapu kimoja.
Wanawake ni sinia pana unachota kadri ya tumbo lako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]yaani amekazana kuwapa wenzio vitisho kwa sababu ya perceptions zake zisizo na maana.
Awaache wachague wenyewe..mambo ya kutishana mambo gani.
Tena huyu hawajui wasiosoma vizuri... sisi wenyewe tuna mifano hai..mwanamke akishajanjaruka tu mbona unajuta nae.
Wasomi Hakuna kipya tusichokijua..tukiolewa Ni kujenga familia tu..ulimbukeni wote tushaona
 
Sasa mbona ulikataa kama hujaongelea nilichouliza n finally umenijibu hichohicho mkuu,aina ya maisha uliyopitia sio lazima na watoto wako wapitie na kumuelimisha ama kumuonya mtoto si kwa viboko tu

Ila na uliyoyasema yapo pia kama mama ameshindwa kulea baba uko wapi au jukumu ni la mama tu[/color


Kipi nimekikataa? hebu kioneshe

Ndio aina ya maisha/malezi niliyopitia udogoni ni tofauti sana na malezi nnayojionea hivi leo. Na nna shukuru sana nililelewa kwenye kizazi cha wanawake wanaojua kulea tofauti na wa hichi kizazi chenu cha instagram kilichoenda shule lakini mna zero skills kwenye malezi ya watoto wenu.

Hapo kwenye blue ndio umethibitisha kabisa mmeenda shule lakini haiwasaidii kitu kwenye social life. Yaani jukumu la kulea mtoto unataka uligawane na baba? hasa mtoto mdogo? my sympathy to whoever wifed you.
 
Ntaamini kwa vithibitisho next time usiwe muongeaji sana we weka takrimu tupambane nazo otherwise hatutoliangalia tatizo kwa ukubwa unaouona wewe mr researcher

Hapa Jf wanaolialia wengi nawachukulia kama wadhaifu waliopoteza/kutokujua nafasi zao kama mume kwenye ndoa na visa vingi vinavyojadiliwa ama kuombwa mashauri ni miner issues ambazo mtu angeweza kusolve lkn anakimbilia huku kuomba msaada

Tuanzie kwenye uzi huu mfano mume anaomba ushauri kujibiwa na mke kuhusu ela ya matumizi nyumbani akija kulialia huku utasema kosa ni la mke wakati unaona dhahiri mume hana say kwenye nyumba yake mwenyewe?

Ndomana wimbi la mauwaji limekithiri sababu you guys hv turned to be soft in taking your responsibilities lkn si kosa la ke kawa msomi

Real men are problem solver sio trouble maker unachokifanya ni kukimbia ke walioenda shule lkn haibadilishi mienendo ya familia or malezi ya watoto,come up with the solution kwa me wenzio lkn si kuwatisha wasioe ke walioelimika dia hii karne nyingine amka

Hopeful umekielewa hichi kichwa kigumu

Kwamba unataka takwimu? hata nikikuwekea utaamini vipi kwmba sijazipika wakati akili yako haijajiandaa kukubaliana na ninachokisema? haya niko Dodoma wewe huko wapi!? nataka twende kwenye ofisi za Rita tukadhibitishe mimi na wewe.

Haya swali langu kwako, sasa kwanini wanaolia lia wengi ukiwasoma tu maelezo yao ni wale wanaolizwa na wanawake wasomi? kwanini unawaona wamepoteza nafasi kama mume kwenye ndoa? kwanini unaona tatizo liko upande wao? kwanini hatuoni waliooa std7 leavers wakija kulia lia humu? mtu anasema mke wangu nimemfumania na amenilaza ndani.. halafu wewe unasema eti hizo ni minor issue huko serious kweli?

Kwanini akose say ndani ya nyumba? na kwanini una assume kosa ni la mwanaume mpaka mwanamke amekuwa hivyo na usi-assume huyo mwanamke ana kiburi na ndio sababu ya mwanaume kokosa say?

Personally i am not soft to be played by any woman. I am african man who’s ready anytime to carry my masculine duties with no hesitation. I just don’t need highly educated/career woman as a wife for the sake of family stability.

Real men possess the virtues that most average men don’t have, they can forsee the unforeseen tragedy and take precautions to escape the possible damage. Real men are economical and wise, they don’t use their resources to solve the problem that could’ve been escaped at the first place.. Only average men do that.

Sijamtisha mtu asioe msomi! ila mwenye akili atumie akili zake kuelewa
 
Mkuu ipo hivi mimi na wewe tukikaa tukakubaliana jambo tunakusha na haiba fulani ya undugu au urafiki hata kama ni wa muda mfupi,

Nilivyoeleza urafiki nilikuwa nnajua kama ni mama na dada lakini haibadilishi ukweli

Mfano kama hawa ndo angekuwa mama halisi wa mtu kwani inaondoa ukweli kwamba alikula tunda na shetani?

Mkuu, Nimekuelewa.
 
Wanawake ni binadamu wenye roho mbaya sana, ni kielezo cha mashetani ndiyo maana wengi wanamapepo, bila wao kusingekua na shida hapa duniani. Tuishi nao kwa alkili sana.
....................." Tuishi nao kwa akili sana" hili neno la mwisho nimekupata. Ahsante sana!!!!!
 
Ambia wanaume wenzio wakusikie

Wamesikia Mama!!

Na wewe kama umeolewa jitahidi kuishi vizuri na Mumeo, ikiwa mnakwazana jitahidi yaishie chumbani msiyatoe nje. Nakutakia maisha marefu yenye kheri na fanaka.
 
Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani

Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda

So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki
Ndio maana asilimia kubwa wanamapepo na wao ndio wanaenda kwa waganga hii ndio tafiti za mida.
 
Hahahahaaaa

Hivi mwanaume unaridhikaje na mshahara ambao unajua hauwezi kucover mahitaji yako na familia?

Halafu unatoka hapo unaenda msimulia mchepuko aibu zako
 
Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
Eh watafute hera hana aibu .
Ubebe wewe uzae wewe bado ulee wewe kwani wewe ni single mother?? Siumeolewa na baba yao siyupo??
Inaonekana huyo mama hakuolewa kwa mapenzi ila kwa kuchunwa tu.
Kachoka naye eti ndio kaenda kutuliza pressue yake kwa maana inaonekana kila kitu ni yeye kavumilia kachokaaa.
Wanaume wa sampuli hizi ni mikosi halafu umeshaoana naye jamani harusi za kislamu ni nzuri unaona hizi shida unadai talaka zako tatu dah unafanya chamboo.
Hivi hela zenu mnazipelekaga wapi kama sio kwa michepuko huyo mama anaonyesha kachoka
 
Wazazi wa zamani walikuwa ni walezi wazuri kuliko nyie ndio.. kwani hilo lina ubishi?
Vitoto vyenu vya siku hizi hamvipi malezi ya ovyo mpaka vinakuwa vijinga kupitiliza?
Hamvilei kama mayai hata kuvichapa mnaogopa eti sababu mnavipenda sana matokeo yake vinaota kiburi?
Haviwatii aibu mkienda kwenye mikusanyiko ya watu kutokana na nidhamu mbovu vilionayo? kitoto unakikataza kitu lakini hakiskii?
Kwanza nyie mnalea au mnalelewa na mabeki tatu..? huku mkitoa maagizo tu.
mmesoma lakini education has brought almost zero change to you haijawapumbaza ila mmeshindwa kuitumia... au na hapa utashindwa kuelewa?
Hongera sana ila naona unatumia nguvu nyingi sana kuwaelemisha hawa watu ila hatakuelewa
1. Siku zote mwanamke ni mbinafsi. Tatizo lake ni la wote ila lako ni lako. Inabidi mwanaume tulitambue hilo
2. Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana. Anaamini mwanaume ni ATM mashine, hawezi kukosa pesa milele au kukwama kwenye jambo lolote. Mwanamke akichepuka atasema wewe ndiyo sababu ila wewe ukichepuka utaambiwa hauridhiki.
3. Mwalimu wao ni kipofu. Mwanamke hana shukrani hata ufanye nini ndiyo maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili. Hapa ni sawa unakula na kipofu kwahiyo unatakiwa ule naye lakini usimguse mkono
4. Mwanamke ni kiumbe (Mwanamke hakuumbwa kwa udongo). Aliyeumbwa kwa udongo ni mwanaume ndiyo maana matendo ya wanawake ni ya hatari sana. Ushaujiuliza kwanini wanawake wanakuwa na mapepo?
5. Mwanamke ni kiumbe pekee aliyeongea na shatani ana kwa ana. Ushajiuliza kwanini alienda kwa mwanamke akamuacha mwanaume? USISHINDANE NAYE UTAAUMIA
N.B
-Wanaume tutafute pesa na hata tukikwama tufe na tai shingoni kwasababu mwanamke ni kiumbe pekee aliyeongea na shetani ana kwa ana. Kama aliongea na shetani ana kwa ana usitegemee msaada wake kama utaupata ni wa masharti. Pigana wewe kama wewe, hata sehemu yenye msaada usimuombe msaada angalie yeye mwenyewe. Asipoona wewe komaa.
-Kabla ya kuoa unabidi mchunguze sana mwanamke uliyenaye kabla haujaingia ndoani. Kabla ya kumuoa muishi pamoja hata kwa miezi 6 hapo utagundua mengi.
-Tukifuata maandiko Mwanaume atakula kwa jasho na ni kichwa cha familia yaani atahudumia familia yake kwa kila kitu na mwanamke ni msaidizi aliyeumbwa kutoka kwenye ubavu wa kushoto wa mwanamke kwahiyo atalea watoto na majukumu ya nyumbani (Mwanamke hatakiwi kufanya kazi akae nyumbani na mwanaume awe mtafutaji).
 
Kwamba unataka takwimu? hata nikikuwekea utaamini vipi kwmba sijazipika wakati akili yako haijajiandaa kukubaliana na ninachokisema? haya niko Dodoma wewe huko wapi!? nataka twende kwenye ofisi za Rita tukadhibitishe mimi na wewe.

Haya swali langu kwako, sasa kwanini wanaolia lia wengi ukiwasoma tu maelezo yao ni wale wanaolizwa na wanawake wasomi? kwanini unawaona wamepoteza nafasi kama mume kwenye ndoa? kwanini unaona tatizo liko upande wao? kwanini hatuoni waliooa std7 leavers wakija kulia lia humu? mtu anasema mke wangu nimemfumania na amenilaza ndani.. halafu wewe unasema eti hizo ni minor issue huko serious kweli?

Kwanini akose say ndani ya nyumba? na kwanini una assume kosa ni la mwanaume mpaka mwanamke amekuwa hivyo na usi-assume huyo mwanamke ana kiburi na ndio sababu ya mwanaume kokosa say?

Personally i am not soft to be played by any woman. I am african man who’s ready anytime to carry my masculine duties with no hesitation. I just don’t need highly educated/career woman as a wife for the sake of family stability.

Real men possess the virtues that most average men don’t have, they can forsee the unforeseen tragedy and take precautions to escape the possible damage. Real men are economical and wise, they don’t use their resources to solve the problem that could’ve been escaped at the first place.. Only average men do that.

Sijamtisha mtu asioe msomi! ila mwenye akili atumie akili zake kuelewa

Sawa
 


Kipi nimekikataa? hebu kioneshe

Ndio aina ya maisha/malezi niliyopitia udogoni ni tofauti sana na malezi nnayojionea hivi leo. Na nna shukuru sana nililelewa kwenye kizazi cha wanawake wanaojua kulea tofauti na wa hichi kizazi chenu cha instagram kilichoenda shule lakini mna zero skills kwenye malezi ya watoto wenu.

Hapo kwenye blue ndio umethibitisha kabisa mmeenda shule lakini haiwasaidii kitu kwenye social life. Yaani jukumu la kulea mtoto unataka uligawane na baba? hasa mtoto mdogo? my sympathy to whoever wifed you.

Keep your sympathy to yourself na elimu niliyopata itamsaidia ntakaemleta duniani na mume wengine opinions hazitomfanya ke kutokua mama na malezi ndo hayahaya
 
Hongera sana ila naona unatumia nguvu nyingi sana kuwaelemisha hawa watu ila hatakuelewa
Kweli kabisa mkuu yaani nimerudia rudia maelezo hapa lakini watu hawaelewi kitu, nimewapa mifano lakini holaa!!! wameishia kuniijia juu kwa hisia tu(emotion) lakini hawajelewa kitu
1. Siku zote mwanamke ni mbinafsi. Tatizo lake ni la wote ila lako ni lako. Inabidi mwanaume tulitambue hilo
Hili halina ubishi hata kidogo, they are selfish in nature ndio maana huwa nawashangaa sana wale wanaoa wanawake wenye kazi wakitegemea eti watasaidiana kutatua matatizo ndoani na tena wengine ni ndugu zangu huwa nawapa pole tu ya kimya kimya
2. Mwanamke ni kiumbe dhaifu sana. Anaamini mwanaume ni ATM mashine, hawezi kukosa pesa milele au kukwama kwenye jambo lolote. Mwanamke akichepuka atasema wewe ndiyo sababu ila wewe ukichepuka utaambiwa hauridhiki.
Jamaa hivi tuna share brain au? sio kwa kuwajua huku mzee baba. Kwenye huu uzi nimewaambia watu kwamba mwanamke hata awe ni gavana wa benki kuu lakini kununua mboga atakutegemea wewe mume wake unayefanya kazi ya ualimu ndio ununue.. ile dependent trait haiwezi ikamtoka, wameumbwa hivyo kuwa tegemezi. Na ukishindwa kununua anakuona wewe sio mwanaume. Kwenye kuchepuka ndio usiseme wanajua kutafuta justifications hawa watu, anaweza akakwambia tu ni msongo wa mawazo ambao chanzo chake ni wewe..they always find whatever reason to rationalize their ignorance
3. Mwalimu wao ni kipofu. Mwanamke hana shukrani hata ufanye nini ndiyo maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili. Hapa ni sawa unakula na kipofu kwahiyo unatakiwa ule naye lakini usimguse mkono
Ni kuishi nao kwa akili haswa haijalishi amesoma au hajasoma tena bora hata awe hajasoma maana kuna vitu akivifanya hautashangaa sana sababu tayari kuna justification ni rahisi kum handle, awe amesoma halafu hajaelimika na wengi ndio wako hivi hapo lazima usage meno. Unaweza ukafamnyia vitu 99 ila siku utakaposhindwa tu hauna hata thamani kwake, wao ni watu wakuangalia wakati uliopo tu. Ndio maana mimi binafsi nna principal yangu jinsi ya kuishi na hawa watu na inanisaidia kweli[/QUOTE ]
4. Mwanamke ni kiumbe (Mwanamke hakuumbwa kwa udongo). Aliyeumbwa kwa udongo ni mwanaume ndiyo maana matendo ya wanawake ni ya hatari sana. Ushaujiuliza kwanini wanawake wanakuwa na mapepo?
Ni hatari sana hata wao wenyewe huwa wanajisifu kwamba ni hatari, sasa naanza kuamini wanaojisifu sio wao bali ni mapepo yaliyopo ndani ya miili yao
5. Mwanamke ni kiumbe pekee aliyeongea na shatani ana kwa ana. Ushajiuliza kwanini alienda kwa mwanamke akamuacha mwanaume?
Kwa sababu mwanamke ndio alikuwa ni soft target kwa shetani kutimiza kusudio lake na mpaka leo hii akitaka kupitisha ajenda zake anapitia kwenye kivuli cha mwanamke ref.Feminism
USISHINDANE NAYE UTAAUMIA
N.B
-Wanaume tutafute pesa na hata tukikwama tufe na tai shingoni kwasababu mwanamke ni kiumbe pekee aliyeongea na shetani ana kwa ana. Kama aliongea na shetani ana kwa ana usitegemee msaada wake kama utaupata ni wa masharti. Pigana wewe kama wewe, hata sehemu yenye msaada usimuombe msaada angalie yeye mwenyewe. Asipoona wewe komaa.
Nazingatia sana ujumbe huu... mimi naamini kwenye mambo mazito wanawake hawanaga msaada ndio maana hata sina vigezo complicated kwenye suala la kuoa
-Kabla ya kuoa unabidi mchunguze sana mwanamke uliyenaye kabla haujaingia ndoani. Kabla ya kumuoa muishi pamoja hata kwa miezi 6 hapo utagundua mengi.
Basi mimi naona hata hiyo miezi sita ni michache sana, ni rahisi sana mtu kupretend akificha tabia zake mbovu kwa muda wa miezi sita kuliko miaka miwili, so muda mzuri wa kukaa nae hili mjue in and out completely ni kuanzia miaka miwili
-Tukifuata maandiko Mwanaume atakula kwa jasho na ni kichwa cha familia yaani atahudumia familia yake kwa kila kitu na mwanamke ni msaidizi aliyeumbwa kutoka kwenye ubavu wa kushoto wa mwanamke kwahiyo atalea watoto na majukumu ya nyumbani (Mwanamke hatakiwi kufanya kazi akae nyumbani na mwanaume awe mtafutaji).
Amina kiongozi na siku zote ukitaka kuwa na ndoa/familia bora ni lazima uyaishi haya maandiko pasipo kuyaikuka hata kidogo. Watu wengi hasa wanaume wenzangu wamekuwa wakiyakiuka haya maandishi bila ya wao kujua hasa kuanzia kwenye machaguzi yao ya wachumba, halafu siku mambo yakiwa ndivyo sivyo ndani ya ndoa wanakuja kulia lia tu huku mitandaoni.

Binafsi mimi maisha yangu lazima niyapeleke kwa kuzingatia desturi za kale ambazo zinabeba mfumo wa asili uliowekwa na Mingu na hata kwenye kutafuta mchumba nitafuta mchumba ambaye ataendana na mfumo huo.

Asante sana kwa bandiko lako zuri! mwenye akili na aelewe.
 
Utakula kwa jasho nitazaa kwa uchungu
Umeandika vyema. Maandiko yajaruhusu mwanamke kufanya kazi alitakiwa awe mama wa nyumbani azae na alee watoto (azae kwa uchungu). Yajaandika mwanamke amke asubuhi saa 11 arudi saa 12 jioni ndiyo maana wazee wetu kwa kufuata maandiko waliwaachisha wanawake kazi wawe mama wa nyumbani kwasababu mwanaume ndiyo kichwa cha familia na ndiyo anatafuta ridhiki kwa ajili ya kuhudumia familia.
Kumruhusu mkeo kufanya kazi ni kukiuka maandiko ndiyo shida inapoanzia hapo. Soma Biblia na Quran ni kifungu gani kimemruhusu mwanamke kufanya kazi?
 
Umeandika vyema. Maandiko yajaruhusu mwanamke kufanya kazi alitakiwa awe mama wa nyumbani azae na alee watoto (azae kwa uchungu). Yajaandika mwanamke amke asubuhi saa 11 arudi saa 12 jioni ndiyo maana wazee wetu kwa kufuata maandiko waliwaachisha wanawake kazi wawe mama wa nyumbani kwasababu mwanaume ndiyo kichwa cha familia na ndiyo anatafuta ridhiki kwa ajili ya kuhudumia familia.
Kumruhusu mkeo kufanya kazi ni kukiuka maandiko ndiyo shida inapoanzia hapo. Soma Biblia na Quran ni kifungu gani kimemruhusu mwanamke kufanya kazi?

Halafu kama umeshagundua humu wengi ni wanafiki tu au kama sio wanafiki basi hawana ufahamu na hiyo phrase ya bible wanayopenda kuinukuu mara kwa mara.

Yaani mtu anaropoka tu eti utakula kwa jasho nitazaa kwa uchungu.

Wakati huo yeye mwenyewe hapo haishi kama mwanamke aliyeelezewa kwenye bible.. mtu anaipa kazi kipaumbele kukiko mume na familia halafu bado ana ujasiri wa kunukuu vifungu vya bible yote hiyo ni sababu tu vinaonekana kumpa fovor akivitamka mbele za watu.
 
Back
Top Bottom