Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

@atoto anakuzingua achana naye, juzi tu hapa katoka kumpa mchumba 500k bila kuombwa[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kumbe ndo maana ako na hasira eeehh
 
Kaenda kumwegwa uko kafikishwa ndo kapata jeuri ya kumjibu ivo,angemjib kistaarabu tu ,
 
Kumbe umeshamuona[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Apambane na Hali yake..yeye hataki wenzie wanataka wasomi.
Dunia imebadilika.
Mwanaume inatakiwa aishi na mwanamke kwa akili. Hivyo ni vyema mwanaume ajipime kiwango chake cha akili ili awe na mke wanaetoshana. Yeye ashagundua la3 C ndio wanatoshana, basi asijumuishe wanaume wote kwenye kikapu kimoja.
Wanawake ni sinia pana unachota kadri ya tumbo lako.
 
Aiseee
Na kukwama kwa mwanamke ni matumizi mabaya ya nini eti....

Tuache ubinafsi auntie!
Kukwama kwa mwanamke ndio matumizi sahihi ya uanamke huo ili mwanaume amkwamue.
 
Kwaiyo mkuu unachoona wewe malezi mabaya kwa watoto yamechangiwa na ke kuwa wasomi!?

stop making these half-quoting and wrongly skewed deductions from my post.

please read to understand and not to reply.

Hakuna mahali nilipomaanisha malezi mabaya ya watoto ni sababu ya “KE kuwa wasomi”, acha kufanya hizi weird interpretations!

“Pamoja na wanawake wengi wa siku hizi kuwa wasomi lakini hawajui kulea, watoto wao ni watoto wa ovyo sana”

Sana nilichokimaanisha hapa ni kwamba mmesoma lakini hiyo elimu yenu kwenye social life hasa malezi kwa watoto haijawasaidia chochote. Na Sijamaanisha kuwa elimu imekuja kuwapumbaza, usiponielewa na hapa basi wewe una kichwa kigumu.
 
Unachokisema kipo ila si kwa watu wote samaki mmoja akioza haimaanishi wote wameoza unaweza pata ambae hajaenda shule na akakuvuruga pia na wapo wengi tu lkn pia haimaanishi wote ambao hawajandashule wako hivyo

Yeah.. ni kweli samaki mmoja akioza si wote! lakini hii methali inapwaya kwenye hichi tunachokiongelea hapa!

Asilimia kubwa ya wanawake wanaosumbua kwenye ndoa zao ni wasomi.

Kufuatia ukweli wa hii kauli tunaweza kusema mtu ana uhakika zaidi wa kuwa na ndoa yenye amani akioa mwanamke asiyekuwa msomi kuliko pale anapooa mke msomi.
 
stop making these half-quoting and wrongly skewed deductions from my post.

please read to understand and not to reply.

Hakuna mahali nilipomaanisha malezi mabaya ya watoto ni sababu ya “KE kuwa wasomi”, acha kufanya hizi weird interpretations!

“Pamoja na wanawake wengi wa siku hizi kuwa wasomi lakini hawajui kulea, watoto wao ni watoto wa ovyo sana”

Sana nilichokimaanisha hapa ni kwamba mmesoma lakini hiyo elimu yenu kwenye social life hasa malezi kwa watoto haijawasaidia chochote. Na Sijamaanisha kuwa elimu imekuja kuwapumbaza, usiponielewa na hapa basi wewe una kichwa kigumu.

Rudi kwenye post yako afu soma tena usinifanye me kiazi unasema kabisa wazazi wa zamani ambao hawakwenda shule ndowaliwalea vizuri ila wa sasa hamna kitu afu nikikuuliza ulichosema unaleta kingereza kingi...shame on u
 
Yeah.. ni kweli samaki mmoja akioza si wote! lakini hii methali inapwaya kwenye hichi tunachokiongelea hapa!

Asilimia kubwa ya wanawake wanaosumbua kwenye ndoa zao ni wasomi.

Kufuatia ukweli wa hii kauli tunaweza kusema mtu ana uhakika zaidi wa kuwa na ndoa yenye amani akioa mwanamke asiyekuwa msomi kuliko pale anapooa mke msomi.

Research yako umeiconclude kwenye familia ngapi tuanzie hapo
 
Umekaa ukafwatilia matatizo ya ndoa za wasomi,hizi nyingine umeangalia?
Je ,wasomi wanaoishi vizuri hujawaona.
Endelea kuwaza hivyohivyo.
Kumbe unajua shule Ni muhimu halafu unawaambia wenzio wanawake waliosoma Ni Kama sigara ni hatari kwa afya..halafu unasema hatujakuelewa.
Acha unafiki mkuu.

Wewe usipotaka kuoa msomi,nenda kaoe wa chekechea...hayo Ni maamuz yako.
Ila acha kuootosha wenzio kuwashauri mawazo na kuwapa sababu zisizo na maana.

Unadhani kuishia darasa la 1 ndio uke wema??au kufika chuo ndio kuwa mke mwema?
Endelea kuchanganya elimu na ndoa...siku ya kuoa we beba tu mjinga yeyote.,kwa kigezo Cha ujinga wake wa kuto kusoma.
Siku akikunyosha utajua kuwa elimu haihusiani na ndoa ama tabia ya mtu
Wala hata haitaji deep research kutambua hilo, mifano ipo mingi sana kwanzia JF mpaka RITA. Au unataka nikuwekee na data kabisa hapa kwamba ndoa zilizovunjika za wasomi ni kadhaa na za wasiokuwa wasomi ni kadhaa?

Hivi unaelewa kweli mtu anapoongelea jambo halafu akaanza na neno “wengi”?.. maana ni kwamba hapo kuna exceptions na mimi sijasema hakuna ndoa za wasomi zenye afya. lakin sasa ni ngapi hizo ndoa za wasomi zenye afya? hapo ndio msingi wa comment yangu

Kila mtu anajua shule ni muhimu, ila ukweli lazima usemwe wanawake waliosoma wengi wao ni majipu ndoani japo pia wana faida zao, lakini hizo faida zao zinaelemewa na mabaya yao na ndio maana nikawaita LIABILITY. Nikakupa na mfano wa sigara kabisa lakini hujanielewa kitu.

Sote tunafahamu sigara ni hatari kwa afya na tunapewa tahadhari kila leo lakini bado inaendelea kuuzwa na kuvutwa sana tu.... hii inamaanisha kwamba sigara ina faida na hasara zake kwa hiyo ni jukumu la mtumiaji kufanya maamuzi yake baada ya kuwa ameshapewa sides zote mbili yaani faida na hasara.

Hivvyo hivyo pia hata kwa wanawake wasomi wana faida na hasara zake, kwa hiyo mimi nilitoa tahadhari tu wala sijamzuia mtu kuoa mwanamke msomi.


Mimi sio mnafiki, tatizo unielewi unanisoma juu juu tu.

You have comprehension issue, i am not here to mislead people by persuading them to follow my opinions! what i have elucidated is just an alert and not a law please elewa. Pia hauwezi ukaona sababu zangu zina maana sababu wewe sio muoaji watakaonielewa ni waoaji

Kwa kweli hata mimi nakubali kufika chuo sio uke wema, maana kadri nyie wanawake mnavyozidi kupanda kielimu ndio uke wema nao unazidi kupungua.

The more educated you get the dumber you become at least in marriage/relationship-wise and vice verse is damn true.

I personally would rather marry mjinga mwenye zero education whom i am very sure she possesses all the qualities of good wife than marry a highly educated one with egocentric disrespectful unsubmissive and recalcitrant attitudes that will make our marriage the hell on earth.

Education might have nothing to do with marriage but for most of the so-called educated ladies this is not the case!! they always tend to mistake their career life for marital life as a result of their dumbness.

If you are educated and yet you can’t make a good wife then your education/academic intelligence is utterly useless in my opinion.
 
Rudi kwenye post yako afu soma tena usinifanye me kiazi unasema kabisa wazazi wa zamani ambao hawakwenda shule ndowaliwalea vizuri ila wa sasa hamna kitu afu nikikuuliza ulichosema unaleta kingereza kingi...shame on u

Wazazi wa zamani walikuwa ni walezi wazuri kuliko nyie ndio.. kwani hilo lina ubishi?

Vitoto vyenu vya siku hizi hamvipi malezi ya ovyo mpaka vinakuwa vijinga kupitiliza?

Hamvilei kama mayai hata kuvichapa mnaogopa eti sababu mnavipenda sana matokeo yake vinaota kiburi?

Haviwatii aibu mkienda kwenye mikusanyiko ya watu kutokana na nidhamu mbovu vilionayo? kitoto unakikataza kitu lakini hakiskii?

Kwanza nyie mnalea au mnalelewa na mabeki tatu..? huku mkitoa maagizo tu.

mmesoma lakini education has brought almost zero change to you haijawapumbaza ila mmeshindwa kuitumia... au na hapa utashindwa kuelewa?
 
Haki yake huyo dada mume ni kila kitu ndan ya nyumba no matter what
 
Research yako umeiconclude kwenye familia ngapi tuanzie hapo

Sasa hata nikukwambia nimetembelea wilaya kadhaa hapa nchini na kuzichukua kama sample space ndio nikaja na hiyo conclusion utaamini vipi?

Labda tuanze hapa JF kwanza tuone ni nyuzi ngapi za wanaume wanaokuja kulia lia sababu ikiwa ni wake zao ambao ni wasomi na wenye kazi zao.
 
Wazazi wa zamani walikuwa ni walezi wazuri kuliko nyie ndio.. kwani hilo lina ubishi?

Vitoto vyenu vya siku hizi hamvipi malezi ya ovyo mpaka vinakuwa vijinga kupitiliza?

Hamvilei kama mayai hata kuvichapa mnaogopa eti sababu mnavipenda sana matokeo yake vinaota kiburi?

Haviwatii aibu mkienda kwenye mikusanyiko ya watu kutokana na nidhamu mbovu vilionayo? kitoto unakikataza kitu lakini hakiskii?

Kwanza nyie mnalea au mnalelewa na mabeki tatu..? huku mkitoa maagizo tu.

mmesoma lakini education has brought almost zero change to you haijawapumbaza ila mmeshindwa kuitumia... au na hapa utashindwa kuelewa?

Sasa mbona ulikataa kama hujaongelea nilichouliza n finally umenijibu hichohicho mkuu,aina ya maisha uliyopitia sio lazima na watoto wako wapitie na kumuelimisha ama kumuonya mtoto si kwa viboko tu

Ila na uliyoyasema yapo pia kama mama ameshindwa kulea baba uko wapi au jukumu ni la mama tu
 
Sasa hata nikukwambia nimetembelea wilaya kadhaa hapa nchini na kuzichukua kama sample space ndio nikaja na hiyo conclusion utaamini vipi?

Labda tuanze hapa JF kwanza tuone ni nyuzi ngapi za wanaume wanaokuja kulia lia sababu ikiwa ni wake zao ambao ni wasomi na wenye kazi zao.

Ntaamini kwa vithibitisho next time usiwe muongeaji sana we weka takrimu tupambane nazo otherwise hatutoliangalia tatizo kwa ukubwa unaouona wewe mr researcher

Hapa Jf wanaolialia wengi nawachukulia kama wadhaifu waliopoteza/kutokujua nafasi zao kama mume kwenye ndoa na visa vingi vinavyojadiliwa ama kuombwa mashauri ni miner issues ambazo mtu angeweza kusolve lkn anakimbilia huku kuomba msaada

Tuanzie kwenye uzi huu mfano mume anaomba ushauri kujibiwa na mke kuhusu ela ya matumizi nyumbani akija kulialia huku utasema kosa ni la mke wakati unaona dhahiri mume hana say kwenye nyumba yake mwenyewe?

Ndomana wimbi la mauwaji limekithiri sababu you guys hv turned to be soft in taking your responsibilities lkn si kosa la ke kawa msomi

Real men are problem solver sio trouble maker unachokifanya ni kukimbia ke walioenda shule lkn haibadilishi mienendo ya familia or malezi ya watoto,come up with the solution kwa me wenzio lkn si kuwatisha wasioe ke walioelimika dia hii karne nyingine amka

Hopeful umekielewa hichi kichwa kigumu
 
Nimekuelewa sana unaposema mwanamke ni rafiki yake shetani na sijui walipanga nn na shetani kule edeni
 
Back
Top Bottom