Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Uhame uende wapi ikiwa hata hela ya kununua nusu kilo ya sembe watoto wanywe uji huna? hahahahah
Ama utarudi kwenu kwa wazazi ukasaidiwe kulea wanao?teh teh
 
Kama unaona kusoma kwa mwanamke kwenye familia ni shida, mbona mnatafuta usaidizi kwenye majukumu yenu kupitia vipato vyao? Hao wasiosoma watakuwa tegemezi hata kwa vitu vidogo. Na siku familia mkikwamba si wataishi kama enzi za ujima? au hayo hamuyaoni kwenye familia zinazotegemea kipata cha mtu mmoja?


 
MIMI NI MWANAUME NINA MAWAZO TOFAUTI KIDOGO...

NI JUKUMU LA.MUME KUISIMAMIA NA KUILISHA FAMILIA KUTOKANA NA RIZKI ATAKAYOWAJAALIA ALLAH...

HUYO MUME ANA MAKOSA YAFUATAYO:-
1. Kukubali mke wake kufanya kazi...HII ILIPELEKEA KUTAKA KUULIZA MATUMIZI YA MSHAHARA WAKE...wakati haifai kuuliza wala kuitamani hela mwanamke ikusaidie labda kwa huruma na wema wake...na anapokosa huruma...ndio anakuwa kama hivyo...

2. Huyo mwanaume mnyonge sana...YAANI UMEITWA NA WAZAZI MARA MOJA UNAENDA...LABDA MUMEWE KAMRUHUSU...ILA OTHERWISE...KASHAPANDWA KICHWANI TOKA MWANZONI...
UISLAAM UNASEMA MWANAMKE AKISHAOLEWA HARUHUSIWI KUTOKA NYUMBANI BILA IDHNI YA MUMEWE...HATA KAMA WAZAZI WAKE WAMEFARIKI...

3. INABIDI AJUE NI JUKUMU LA MUME KUITUNZA FAMILIA NA KUISIMAMIA...MWANAMKE YEYE NI MLEZI TU...NA HAKUNA MAHALI IMEANDIKWA AFANYE KAZI ASAIDIANE NA MUMEWE...

JAPO SIMAANISHI KUWA MWANAMKE HARUHUSIWI KUFANYA KAZI...ILA KAMA WEWE MWANAUME UTAONA YAFAA KUFANYA NA HUTOMWINGILIA KATIKA MAPATO YAKE...WALA HUTOMPUNGUZIA HAKI YAKE MUMEWE WALA WAJIBU WAKE KWA MUMEWE AU WATOTO...

4. HUYO MWANAMKE HANA HURUMA...NA HURUMA HUSABABISHWA NA MAPENZI...mengine ujaze mwenyewe...
 
Hatari aisee
 
Hapo ukiona ivyo Hali c Shwari uko ndaniii😈😈😈
 
😁😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…