EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
Sidhan kama huwa wanafikiria hiloSijuii huwa tunakwama wapi jamani!
Mwanamke yupo kwenye ndoa na bado hajui jukumu la familia ni la baba na mama, yaani mke na mume!
Mipango inatakiwa iwepo kabla hata ya kuoana, sijui kama wanaume huwa wanaliwaza hili... Mwanaume Jaribu kukwama siku moja uone kama mpenzi wako ama mchumba wako atakusaidia au ndo atanunaa!!
Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani
Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda
So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki
[emoji23]Kwajinsi ulivyo elezea, nimejikuta mawazo yangu yanaamini kwamba wewe ni mchepuko wa huyo unae muita kwa jina la kaka mmoja....
Kiongozi unaishi kimara?Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
My kaka tumewaza the same.Kwajinsi ulivyo elezea, nimejikuta mawazo yangu yanaamini kwamba wewe ni mchepuko wa huyo unae muita kwa jina la kaka mmoja....
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hahahah napita nikicheka kingereza hahahaha
Huu ujasiri hata shetani hasogei.Ila huyo kaka ana moyo nae kumuuliza mwanamke "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Kaka zangu tafuteni hela tafuteni hela mbebe majukumu yenu wenyewe
Huwezi kujua kwa sababu kuna ndoa inakuwa imevurugika hasahasa kama mme anachepuka na mke anajua, na labda kabla ya hapo alikuwa anachangia matumizi bila shida lakini leo mme anahonga nyumba ndogo hivi mke ataendelea kutoa hela kwa moyo jamaniHayo majibu hapo juu ukiwa makini unaweza kujua jibu la alie kwenye ndoa na asie kwenye ndoa...
Wadanganye tu wenzio.Sijuii huwa tunakwama wapi jamani!
Mwanamke yupo kwenye ndoa na bado hajui jukumu la familia ni la baba na mama, yaani mke na mume!
Mipango inatakiwa iwepo kabla hata ya kuoana, sijui kama wanaume huwa wanaliwaza hili... Mwanaume Jaribu kukwama siku moja uone kama mpenzi wako ama mchumba wako atakusaidia au ndo atanunaa!!
πππMabaharia tuachane na maswala ya kuoa tupige mbunye tule kona
Nimecheka sana [emoji3][emoji23][emoji16]Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani
Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda
So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki