Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Huwezi kujua kwa sababu kuna ndoa inakuwa imevurugika hasahasa kama mme anachepuka na mke anajua, na labda kabla ya hapo alikuwa anachangia matumizi bila shida lakini leo mme anahonga nyumba ndogo hivi mke ataendelea kutoa hela kwa moyo jamani

Acheni kutwisha Lawama wanawake kwa kisingizio kuwa wao ni wabaya na wanaweza kukosa kuolewa, niwaambie tu kadiri umri unavyoyoyoma mwanaume ndio anahitaji zaidi kuwa na mke.

Mleta mada atakuwa ni nyumba ndogo ya jamaa ndo maana kaijua story nzima wakati ni mambo ya ndani, kusimuliwa na Mchepuko wake... Shame on you
Akili zako zipo sawasawa? unafikiri sawasawa??
 
Una akili sana dada
Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu wenyewe

Kuna mkaka nimemuonea hadi huruma

Huyu kaka ni mfanyakazi wa serikali na mke wake pia

Siku za hivi karibuni amemaliza chuo,ila gharama za chuo alikuwa anajigharamikia kwa kiasi kikubwa na kulingana na maisha ya chuo na gharama ,aliweza kukopa kwenye Benki moja hivyo kwa wastani kwa makato ya mshahara wake ,mshahara ukawa mdogo sana,na ulivyotoka wa mwezi uliopita alilipa kodi ya nyumba na nyingine kwenye shughuli za kilimo,akawa hana kitu

Na bahati nzuri mke wake anajua hali yake ya uchumi na kila kitu

Sasa leo mke wake kasafiri kwenda nyumbani kwao,na kwa vile mke wake anajua hali ya mme wake,mwanaume akafikiri mwanamke angefanya shopping ya mahitaji ya ndani kabla hajaondoka ili watoto wao watatu na mmewe wasipate shida

Lakini mwanamke hakununua mahitaji ya ndani ameondoka kwenda kwao akisema wazazi wake wamemuita kwa dharura

Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"

Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,

Jamani na sisi wanawake tuwe na utu,familia ni ya wote, na kama mwanaume hali si nzuri,ajibika asilimia 100,lakini si kwa roho mbaya hiyo
 
Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani

Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda

So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ama kwa lugha nyepesi, huyo anaeitwa kaka mmoja ni aina ya wanaume ambao hutowa mambo yao ya ndani ya ndoa na hata inapo bidi kumsingizia mke wake ili tu mchepuko ujione ni bora zaidi ya mke wa ndoa

Inawezekana ila ni kwa asilimia chache sana jamaa kujiexpose hivi kwa mtu baki unless anaitumia hii kama weapon ya kumlamba bibie maana amemwona anahuruma saana
 
Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani

Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda

So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki

Mkuu Nakuunga mkono!!!!

Asili ya mwanamke ni kuhudumiwa na kuongozwa+ kutawaliwa na mwanaume siyo kutoa huduma (Japo siyo wote wako hivyo) ndiyo maana mimi huwa nashauri usioe mwanamke kwa kuangalia kipato chake au elimu. Vijana wa sasa walio wengi hukimbilia kuoa wafanyakazi kwa kigezo cha kusaidiana bila kujua maana na mapana ya neno "Kusaidiana"

Kuhusu Wanawake kuwa na urafiki na shetani, naomba uweke akiba ya maneno (maana hata mama zetu na dada zetu ni hao hao wanawake)
 
Mkuu ambao hatujaoa unatuambia nn ss mabaharia

Mkuu sijajua falsafa zako ziko vipi au misingi yako ya kimaisha ikoje.

Maana ninaweza nikatoa ushauri halafu ushauri wenyewe unakinzana na falsafa ambazo tayari umeshajiwekea kama muongozo wa maisha.

Au labda nikuulize kwanza swali, je wewe una embrace mabadiriko ya kitamaduni au uko conservative?
 
Aliingia kwenye ndoa kijasiriamali zaidi
Halafu MTU akibadirika makusudikale aje alaumiwe.... Unajuwa mwanamke anatakiwa awe hivyo alivyofanya huyo mdada kama tu hajui KIPATO na matumizi ya mumewe... We MTU unajuwa A to Z ya mapato na matumizi ya MUMEWE, and yet unaongea kama alivyoongea huyo mdada..!!!!
KUOWA VUVUZERA NI KIPAJI
 
Mkuu Nakuunga mkono!!!!

Asili ya mwanamke ni kuhudumiwa na kuongozwa+ kutawaliwa na mwanaume siyo kutoa huduma (Japo siyo wote wako hivyo) ndiyo maana mimi huwa nashauri usioe mwanamke kwa kuangalia kipato chake au elimu. Vijana wa sasa walio wengi hukimbilia kuoa wafanyakazi kwa kigezo cha kusaidiana bila kujua maana na mapana ya neno "Kusaidiana"

Kuhusu Wanawake kuwa na urafiki na shetani, naomba uweke akiba ya maneno (maana hata mama zetu na dada zetu ni hao hao wanawake)

Mkuu ipo hivi mimi na wewe tukikaa tukakubaliana jambo tunakusha na haiba fulani ya undugu au urafiki hata kama ni wa muda mfupi,

Nilivyoeleza urafiki nilikuwa nnajua kama ni mama na dada lakini haibadilishi ukweli

Mfano kama hawa ndo angekuwa mama halisi wa mtu kwani inaondoa ukweli kwamba alikula tunda na shetani?
 
Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu wenyewe

Kuna mkaka nimemuonea hadi huruma

Huyu kaka ni mfanyakazi wa serikali na mke wake pia

Siku za hivi karibuni amemaliza chuo,ila gharama za chuo alikuwa anajigharamikia kwa kiasi kikubwa na kulingana na maisha ya chuo na gharama ,aliweza kukopa kwenye Benki moja hivyo kwa wastani kwa makato ya mshahara wake ,mshahara ukawa mdogo sana,na ulivyotoka wa mwezi uliopita alilipa kodi ya nyumba na nyingine kwenye shughuli za kilimo,akawa hana kitu

Na bahati nzuri mke wake anajua hali yake ya uchumi na kila kitu

Sasa leo mke wake kasafiri kwenda nyumbani kwao,na kwa vile mke wake anajua hali ya mme wake,mwanaume akafikiri mwanamke angefanya shopping ya mahitaji ya ndani kabla hajaondoka ili watoto wao watatu na mmewe wasipate shida

Lakini mwanamke hakununua mahitaji ya ndani ameondoka kwenda kwao akisema wazazi wake wamemuita kwa dharura

Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"

Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,

Jamani na sisi wanawake tuwe na utu,familia ni ya wote, na kama mwanaume hali si nzuri,ajibika asilimia 100,lakini si kwa roho mbaya hiyo

I dont trust you and what you are saying!

Unadanganya,period!
 
Mkuu sijajua falsafa zako ziko vipi au misingi yako ya kimaisha ikoje.

Maana ninaweza nikatoa ushauri halafu ushauri wenyewe unakinzana na falsafa ambazo tayari umeshajiwekea kama muongozo wa maisha.

Au labda nikuulize kwanza swali, je wewe una embrace mabadiriko ya kitamaduni au uko conservative?
Niko neutral
 
Akili zako zipo sawasawa? unafikiri sawasawa??
sasa mke anajua kabisa jamaa anamchepuko na anamhudumia, anaanzaje kutoa hela hali akijua atahongwa mchepuko??! Najua mwanaume anaweza ng'ang'ania hela yangu lakini ajue naitoa bila hiyari...

Nibaki tu sina akili lakini si kwa akili hizi za mme kutaka na jasho la mkewe akaonge mchepuko
 
Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani

Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda

So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki
Na jamaa lilisugua kwelikweli
 
Back
Top Bottom