Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Sio kila mtu yupo hivyo mkuu, ufe na tai shingoni wakati mkeo yupo. Nini maana ya mke sasa? Unless uwe unamjua kwamba ni mtu wa visiranj
 
Ukweli ni kwamba hamtakiwi kukwama, kukwamwa kwa mwanaume ni uzembe wa hali ya juu. Yaani mwanaume unakwamaje kwa mfano[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Rubbish
 
Kifupi jinsi unavyomuelimisha mwanamke ndo jinsi anavyokuwa mpumbavu.

Wazee wa zamani hawakusomesha wanawake nimekuja kuwaelewa saivi kipindi ambacho tunaoa wasomi lakini tuna product ya watoto wajinga sana kuliko sie tuliolelewa na wamama wa elimu za kawaida
 
Wanawake ni binadamu wenye roho mbaya sana, ni kielezo cha mashetani ndiyo maana wengi wanamapepo, bila wao kusingekua na shida hapa duniani. Tuishi nao kwa alkili sana.
 
kumbuka mkiachana bado atataka mgawane pasu!
 
Ni liability kwako sio kwa kila mtu.
Wewe kama unaona Ni liability wenzio wengine wanaona Ni asset.
Ulitaka tuwe wajinga tusisome???
halafu wanaume wanaona sawa tu kuzima ndoto za mkewe, Yaani kuolewa ndio mwisho wa ndoto za mwanamke. Hii ndio Inaumiza hisia za mwanamke.

Mwanamke anakuja kutimiza ndoto za mme wake
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…