Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wanatuharibia CV kabisa yani, hadi baharia anaomba hela ya diko anajibiwa shiti, sio mzuka 🤣🤣🤣
 
mbona wanaume wengi hawasem lakini hayo maneno maneno ya kukatisha tamaa wengi wanaambiwa, ila hilo la mbona umetuacha bila kitu ndani,mmh wanaume wa chache wanauwezo wa kuuliza wengi wanakufa na tai shingoni mtu anaona bora akope kwa riba a solve tatizo
Sio kila mtu yupo hivyo mkuu, ufe na tai shingoni wakati mkeo yupo. Nini maana ya mke sasa? Unless uwe unamjua kwamba ni mtu wa visiranj
 
Awadanganye ama ndio ukweli huo, lini mtajifunza kuwa mume nae ni binadamu na wala sio mashine ya kufytulia pesa tu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]??? Acheni ubinafsi!

Mwanaume kuna muda anakwama na faraja pekee ni toka kwa mkewe, sasa mwanaume kama huyo akianza kuchepuka kuna mtu atalalamika, kama ndio treatment anayopata toka kwa mkewe?
Ukweli ni kwamba hamtakiwi kukwama, kukwamwa kwa mwanaume ni uzembe wa hali ya juu. Yaani mwanaume unakwamaje kwa mfano[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Niwe muwaz tu japo mimi ni ke,, ikiwa mwanamke anafanya kazi na hela yake haiwez kusaidia chochot n bora aache kazi nijue kimoja tu kwamba n house wife,siez kuvumilia kula chakula cha house girl na watoto wangu wanalelewa na house girls wakat unafanya kazi isokuw na faida kwangu
Ok conclusion n kwamba sisi binadam ndo tunalea matatizo kila mtu akisimama kwenye nafas yake haya hayawez kuwepo,tujitahd kudeal na future kuliko kupelekwa na mihemko
Note,s jukumu la mwanamke kutunza familia lakn kama anakipato n lazima hela iwe kwenye mipango sio umeme ukate et lazma mme aweke asee wanaume tumien akil
Rubbish
 
Halafu tukisema humu mwanamke aliyesoma ni LIABILITY kwenye ndoa tunaonekana wapuuzi, mara ohoo.. hatujiamini..blah blah blah!

Labda tuwekane sawa kwenye kitu kimoja na wote mnaojiandaa kuoa wanawake wasomi/wenye kazi muipate hii.

-Kadri mwanamke anavyozidi kusoma umuhimu wake kwa mwanaume unapungua. Na hata akiangia kwenye ndoa ni kwa ajili ya kupandisha social status tu.

-Mwanamke aliyeelimika hasa aliyefika ngazi za juu ana ndoto binafsi nyingi sana za kutimiza na huwa hazifi hivi hivi tu. Anaweza akazitelekeza kwa muda lakini siku akipata fursa ya kuzitimiza ndoto zake lazima aitumie fursa hiyo hata kama tayari yumo ndoani na hajari kama itaathiri ndoa.

-Mwanamke hata awe na uchumi mkubwa kiasi gani lakini ile natural instinct ya utegemezi haiwezi kumtoka, sana sana akijitahidi atakupunguzia mzigo tu kama mmezaa nae yeye atajigharamia mwenyewe huku watoto akikuachia wewe.

-Kadri mwanamke anavyozidi kuishi na wewe kwenye ndoa ndivyo anavyozidi kukuchoka hasa kama anajiweza kiuchumi na haoni hatari kuvunja ndoa maana hana cha kupoteza.

Kiufupi tu ni kwamba wanawake wasomi ni watu wenye matatizo mengi sana ndoani.

To a woman more education more problems in marriage-wise.
Kifupi jinsi unavyomuelimisha mwanamke ndo jinsi anavyokuwa mpumbavu.

Wazee wa zamani hawakusomesha wanawake nimekuja kuwaelewa saivi kipindi ambacho tunaoa wasomi lakini tuna product ya watoto wajinga sana kuliko sie tuliolelewa na wamama wa elimu za kawaida
 
Mkuu Nakuunga mkono!!!!

Asili ya mwanamke ni kuhudumiwa na kuongozwa+ kutawaliwa na mwanaume siyo kutoa huduma (Japo siyo wote wako hivyo) ndiyo maana mimi huwa nashauri usioe mwanamke kwa kuangalia kipato chake au elimu. Vijana wa sasa walio wengi hukimbilia kuoa wafanyakazi kwa kigezo cha kusaidiana bila kujua maana na mapana ya neno "Kusaidiana"

Kuhusu Wanawake kuwa na urafiki na shetani, naomba uweke akiba ya maneno (maana hata mama zetu na dada zetu ni hao hao wanawake)
Wanawake ni binadamu wenye roho mbaya sana, ni kielezo cha mashetani ndiyo maana wengi wanamapepo, bila wao kusingekua na shida hapa duniani. Tuishi nao kwa alkili sana.
 
Jukumu la kutunza familia ni la mwanaume, imeandikwa katika vitabu vyote vya dini. Sitaishi kwa kumtegemea mwanamke hata awe kiongozi mkubwa na mwenye mshahara mkubwa mara 10 yangu.

Nitaishi kadri ya uwezo wangu na cha mke wangu itakuwa ni ziada tu ila daima sitamtegegemea haswa katika yafuatayo 1. Kulisha familia, 2. Ujenzi wa nyumba, 3. Ada za watoto, 4. Malipo ya maji, umeme, TV, nguo za wanafamilia, malipo ya wafanyakazi (house girl, house boy, mlinzi) n.k.

Mwanamke anachopata kitakuwa nyongeza tu. Ndio kanuni ilivyo hata kama analipwa mara tano Zaidi yako usimtegemee utakuja kulia kilio cha mbwa koko mdomo juu
kumbuka mkiachana bado atataka mgawane pasu!
 
Wanawake tuna mapenzi ya dhati na huruma sana.
Huruma ipi hio kama wewe unataka kila siku mvua inyeshe bila jua kuwaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ni liability kwako sio kwa kila mtu.
Wewe kama unaona Ni liability wenzio wengine wanaona Ni asset.
Ulitaka tuwe wajinga tusisome???
halafu wanaume wanaona sawa tu kuzima ndoto za mkewe, Yaani kuolewa ndio mwisho wa ndoto za mwanamke. Hii ndio Inaumiza hisia za mwanamke.

Mwanamke anakuja kutimiza ndoto za mme wake
 
Kifupi jinsi unavyomuelimisha mwanamke ndo jinsi anavyokuwa mpumbavu.

Wazee wa zamani hawakusomesha wanawake nimekuja kuwaelewa saivi kipindi ambacho tunaoa wasomi lakini tuna product ya watoto wajinga sana kuliko sie tuliolelewa na wamama wa elimu za kawaida
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom