Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

Umemaliza kila kitu
 
Ukimpata mwanamke wife materials, mwenye hofu ya Mungu..anaweza akakufunika kwenye mambo mengi sana...

Ukikutana na mwanamke kimeo, ukiyumba kiuchumi atakunyanyasa mpaka kazini kwako wafahamu kinachoendelea chumbani kwenu...

Hii sijahadithiwa...nimeiona kazini...[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Ambia wanaume wenzio wakusikie
 
Watakupinga hapa,, watakupiga mawe wakati Kuna vitabu vya kiimani vimetoa miongozo, wao wanashikiria mabadiliko ya kidunia........ Tunapokuja kwenye swala la maandiko hakuna cha mabadiliko ya kidunia maandiko yaheshimiwe

Ova
 
Ukweli ni kwamba hamtakiwi kukwama, kukwamwa kwa mwanaume ni uzembe wa hali ya juu. Yaani mwanaume unakwamaje kwa mfano[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Majukumu ya familia ni ya mwanaume tu kumbe? Ndo mana mwanaume akifa mwanamke anaishia kuliwa na kila mtu mana hajui kujitegemea
Ndugu unaniquote nimesema wapi hayo?mie nimeongeza volume tu
Isitoshe mwanamke ni kiumbe dhaifu,tegemezi,hajasoma,hana pesa wala chochote cha kumuingizia pesa sasa hayo majukumu unayotaka akusaidie wewe mume na asiwe tegemezi anayafanyaje?ama unaongelea majukumu ya kupiga deli,kuzaa,kufua,kupika ,kulea watoto na mumewe?
 
Watakupinga hapa,, watakupiga mawe wakati Kuna vitabu vya kiimani vimetoa miongozo, wao wanashikiria mabadiliko ya kidunia........ Tunapokuja kwenye swala la maandiko hakuna cha mabadiliko ya kidunia maandiko yaheshimiwe

Ova
Tena vitabu vya dini zote vimeandika hakuna dini inasema mwanamke ni kichwa cha familia. Kuwa kichwa ina maana ni kuongoza ustawi wa familia. Hata Wanyama wenyewe dume ndio linaongoza familia angalia nyani, simba, tembo, kuku na wengine wote kama wanaongozwa na majike.

Mwanamke kazi yake ni kulea na kuangalia watoto hiyo ndio nature ilivyo
 
Hawataki story za nature, wanasema dunia imebadilika,... Hawajui iliyobadilika ni dunia ila maandiko yamesimama palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…