[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wadanganye tu wenzio.
HahahaahhaahhaahhahahaWewe amka mtoa post ni mchepuko wa jamaa,
Umemaliza kila kituHalafu tukisema humu mwanamke aliyesoma ni LIABILITY kwenye ndoa tunaonekana wapuuzi, mara ohoo.. hatujiamini..blah blah blah!
Labda tuwekane sawa kwenye kitu kimoja na wote mnaojiandaa kuoa wanawake wasomi/wenye kazi muipate hii.
-Kadri mwanamke anavyozidi kusoma umuhimu wake kwa mwanaume unapungua. Na hata akiangia kwenye ndoa ni kwa ajili ya kupandisha social status tu.
-Mwanamke aliyeelimika hasa aliyefika ngazi za juu ana ndoto binafsi nyingi sana za kutimiza na huwa hazifi hivi hivi tu. Anaweza akazitelekeza kwa muda lakini siku akipata fursa ya kuzitimiza ndoto zake lazima aitumie fursa hiyo hata kama tayari yumo ndoani na hajari kama itaathiri ndoa.
-Mwanamke hata awe na uchumi mkubwa kiasi gani lakini ile natural instinct ya utegemezi haiwezi kumtoka, sana sana akijitahidi atakupunguzia mzigo tu kama mmezaa nae yeye atajigharamia mwenyewe huku watoto akikuachia wewe.
-Kadri mwanamke anavyozidi kuishi na wewe kwenye ndoa ndivyo anavyozidi kukuchoka hasa kama anajiweza kiuchumi na haoni hatari kuvunja ndoa maana hana cha kupoteza.
Kiufupi tu ni kwamba wanawake wasomi ni watu wenye matatizo mengi sana ndoani.
To a woman more education more problems in marriage-wise.
Ukimpata mwanamke wife materials, mwenye hofu ya Mungu..anaweza akakufunika kwenye mambo mengi sana...Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu wenyewe
Kuna mkaka nimemuonea hadi huruma
Huyu kaka ni mfanyakazi wa serikali na mke wake pia
Siku za hivi karibuni amemaliza chuo,ila gharama za chuo alikuwa anajigharamikia kwa kiasi kikubwa na kulingana na maisha ya chuo na gharama ,aliweza kukopa kwenye Benki moja hivyo kwa wastani kwa makato ya mshahara wake ,mshahara ukawa mdogo sana,na ulivyotoka wa mwezi uliopita alilipa kodi ya nyumba na nyingine kwenye shughuli za kilimo,akawa hana kitu
Na bahati nzuri mke wake anajua hali yake ya uchumi na kila kitu
Sasa leo mke wake kasafiri kwenda nyumbani kwao,na kwa vile mke wake anajua hali ya mme wake,mwanaume akafikiri mwanamke angefanya shopping ya mahitaji ya ndani kabla hajaondoka ili watoto wao watatu na mmewe wasipate shida
Lakini mwanamke hakununua mahitaji ya ndani ameondoka kwenda kwao akisema wazazi wake wamemuita kwa dharura
Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?
Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"
Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,
Jamani na sisi wanawake tuwe na utu,familia ni ya wote, na kama mwanaume hali si nzuri,ajibika asilimia 100,lakini si kwa roho mbaya hiyo
Msioe mkategemea msaada kutoka kwa wanawake, oeni na mjue mwanaume ni kichwa cha familia, ikitokea mwanamke atakusaidia ni Sawa ila isiwe sheria eti lazima akusaidie.... Mtawaona watu wabaya kila sikuMkuu ambao hatujaoa unatuambia nn ss mabaharia
Ambia wanaume wenzio wakusikieMkuu Nakuunga mkono!!!!
Asili ya mwanamke ni kuhudumiwa na kuongozwa+ kutawaliwa na mwanaume siyo kutoa huduma (Japo siyo wote wako hivyo) ndiyo maana mimi huwa nashauri usioe mwanamke kwa kuangalia kipato chake au elimu. Vijana wa sasa walio wengi hukimbilia kuoa wafanyakazi kwa kigezo cha kusaidiana bila kujua maana na mapana ya neno "Kusaidiana"
Kuhusu Wanawake kuwa na urafiki na shetani, naomba uweke akiba ya maneno (maana hata mama zetu na dada zetu ni hao hao wanawake)
Hapana Mkuu [emoji85][emoji85][emoji85]Unataka jibu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unabarikiwe Linguistic kwa Comments zako zisizo na unafiki.halafu wanaume wanaona sawa tu kuzima ndoto za mkewe, Yaani kuolewa ndio mwisho wa ndoto za mwanamke. Hii ndio Inaumiza hisia za mwanamke.
Mwanamke anakuja kutimiza ndoto za mme wake
Watakupinga hapa,, watakupiga mawe wakati Kuna vitabu vya kiimani vimetoa miongozo, wao wanashikiria mabadiliko ya kidunia........ Tunapokuja kwenye swala la maandiko hakuna cha mabadiliko ya kidunia maandiko yaheshimiweJukumu la kutunza familia ni la mwanaume, imeandikwa katika vitabu vyote vya dini. Sitaishi kwa kumtegemea mwanamke hata awe kiongozi mkubwa na mwenye mshahara mkubwa mara 10 yangu.
Nitaishi kadri ya uwezo wangu na cha mke wangu itakuwa ni ziada tu ila daima sitamtegegemea haswa katika yafuatayo 1. Kulisha familia, 2. Ujenzi wa nyumba, 3. Ada za watoto, 4. Malipo ya maji, umeme, TV, nguo za wanafamilia, malipo ya wafanyakazi (house girl, house boy, mlinzi) n.k.
Mwanamke anachopata kitakuwa nyongeza tu. Ndio kanuni ilivyo hata kama analipwa mara tano Zaidi yako usimtegemee utakuja kulia kilio cha mbwa koko mdomo juu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli ni kwamba hamtakiwi kukwama, kukwamwa kwa mwanaume ni uzembe wa hali ya juu. Yaani mwanaume unakwamaje kwa mfano[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Ndugu unaniquote nimesema wapi hayo?mie nimeongeza volume tuMajukumu ya familia ni ya mwanaume tu kumbe? Ndo mana mwanaume akifa mwanamke anaishia kuliwa na kila mtu mana hajui kujitegemea
Tena vitabu vya dini zote vimeandika hakuna dini inasema mwanamke ni kichwa cha familia. Kuwa kichwa ina maana ni kuongoza ustawi wa familia. Hata Wanyama wenyewe dume ndio linaongoza familia angalia nyani, simba, tembo, kuku na wengine wote kama wanaongozwa na majike.Watakupinga hapa,, watakupiga mawe wakati Kuna vitabu vya kiimani vimetoa miongozo, wao wanashikiria mabadiliko ya kidunia........ Tunapokuja kwenye swala la maandiko hakuna cha mabadiliko ya kidunia maandiko yaheshimiwe
Ova
Hahahahah nacheka kireno wacha nienjoy michango ya wadau especially wanaumeHahahahhahahahaha nimecheka tu baada ya kuona comment yako
Tatizo la wanawake wengi wa kibongo ni roho za kimaskini. Ubinafsi, kiburi na tamaa zinawaponza, wanarudia makosa wanashindwa kujifunza, akili zao fupi kama maisha ya funza.
Mungu aniepushie hilo balaa, i pray!
Hawataki story za nature, wanasema dunia imebadilika,... Hawajui iliyobadilika ni dunia ila maandiko yamesimama palepaleTena vitabu vya dini zote vimeandika hakuna dini inasema mwanamke ni kichwa cha familia. Kuwa kichwa ina maana ni kuongoza ustawi wa familia. Hata Wanyama wenyewe dume ndio linaongoza familia angalia nyani, simba, tembo, kuku na wengine wote kama wanaongozwa na majike.
Mwanamke kazi yake ni kulea na kuangalia watoto hiyo ndio nature ilivyo
Nanimevuta picha wakati unaandika hii comment ulikuwaje[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]utakuwa Mario tu, huna jipya.
Nilitaka nikupe jibu[emoji3][emoji3]Hapana Mkuu [emoji85][emoji85][emoji85]
Ukisoma humu unaona weeengi hawajui wajibu wao na hawajasoma hata vitabu vyao vya diniHahahahah nacheka kireno wacha nienjoy michango ya wadau especially wanaume