Wanawake: ukiona mwanamme anapiga mshindo zaidi ya mmoja kitandani, achana naye fasta huyo ni masikini

Wanawake: ukiona mwanamme anapiga mshindo zaidi ya mmoja kitandani, achana naye fasta huyo ni masikini

Kama Kuna ukweli Fulani...

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Masikini wanawaza ngono sana...
 
Wenzio bao la Kwanza tunatumia dakika 45 na pesa tunazo,kijana acha ujinga
 
Ni ukweli kabisa ila sometimes ni bora umpige miti mke wako vyema ili akahadithie sasa kila siku upi busy akipigwa miti unakuja na bastola oh nilikupa gari pesa biashara kweli je haja zake ulimpa mtu amkaze??
Duh
 
Na sisi makapuku ndio tunakula sehemu ya faida ya hao wa kimoja chali kupitia wake zao kutokana na tunavyowanyandua
 
Mwenye hela akipiga kimoja tu chalii.

Akili inawaza madeni, faida ilopatikana, biashara hii imeingiza milioni ngapi na ile ngapi

Sasa ukutane na kapuku ambaye kula yake ni ya shida, tee tee tee
We mangi endelea tu kuwaza hela wacha sisi tujipakulie minyama kwa hilo shangazi ambalo hulisugui vizuri.
 
Kama sijaona jasho la mgongo, kama hajajinyonganyonga na kujikunjua mpaka kumaliza mikao Sishuki labda aseme yatosha Bora lawama kuliko Fedheha.
 
Haya wamekusikia haya tuone kama watayafanyia kazi mawazo yako tajiri.
 
Back
Top Bottom