Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Mashoga bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie huyoManeno ya mkosaji
AiseeMaokoto hamna miti hamna......sasa si ukakae kwenu huko
DuhNi ukweli kabisa ila sometimes ni bora umpige miti mke wako vyema ili akahadithie sasa kila siku upi busy akipigwa miti unakuja na bastola oh nilikupa gari pesa biashara kweli je haja zake ulimpa mtu amkaze??
Umejitakia mwenyewe na wake wengi huketa magonjwa ya azinaaunapigaje bao mbili kwa mke mmoja wakati una wake wanne bao nane zinatoka wapi? .
Kila mtu ana namna yake ya kuondoa stress, binadamu kamwe hatufanani, na pia maisha hayana formulaMwenye hela akipiga kimoja tu chalii.
Akili inawaza madeni, faida ilopatikana, biashara hii imeingiza milioni ngapi na ile ngapi
Sasa ukutane na kapuku ambaye kula yake ni ya shida, tee tee tee
hana maana huyoMaokoto hamna miti hamna......sasa si ukakae kwenu huko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]usipoisugua wewe
Ataenda mpa bodaboda ukiwa umekwenda tafuta hizo pesa
We mangi endelea tu kuwaza hela wacha sisi tujipakulie minyama kwa hilo shangazi ambalo hulisugui vizuri.Mwenye hela akipiga kimoja tu chalii.
Akili inawaza madeni, faida ilopatikana, biashara hii imeingiza milioni ngapi na ile ngapi
Sasa ukutane na kapuku ambaye kula yake ni ya shida, tee tee tee