Wanawake Vaeni chupi za gharama

Wanawake Vaeni chupi za gharama

Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"

Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package

Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho

Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=

Hata Nandy mwenye kabadirika now

Uzi tayari
View attachment 1147618


WEwe shida yako "bra" au papuchiiii hadi "bra" ikurushe roho??!!😁😁
 
Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"

Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package

Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho

Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=

Hata Nandy mwenye kabadirika now

Uzi tayari
View attachment 1147618

Unamnunulia chupi dozen za ef50 anaenda kuvuliwa na mtu mwingine[emoji1][emoji1] haya tunasubiri mrejesho
 
Chupi ya gharama ndio nini? Chupi kazi yake nini? Na je iyo ya gharama Ina kazi kupita isiyo na gharama au Ina TV ndani
 
Hizo mbona pana pana sana aise. .kama vile Sufuria --?
 
Back
Top Bottom