Mimi nilishajiwekea utaratibu lazima nimzidi mama Elimu na kipato,
Mwanamke wa kileo akiwa na Ka master's degree wewe ukawa na sijui ni level gani huko chini jiandae kisaikolojia.....
Vijana wenzangu, tuhakikishe tunatafuta pesa+ Elimu pia, hawa ndugu zetu sijui wana nini......
Jana nilikuwa naongeza na kadada fulani hivi kana master's degree, kananiambia Dogo udahili unakuja ukasome nikajua hili dongo hili
Da*n