Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

one wisow

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2019
Posts
1,303
Reaction score
1,901
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo .

Mapenzi yamezaliwa manyara (babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani , Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .

Sio kwamba hawaringi, hawaja kujua bado
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo .

Mapenzi yamezaliwa manyara (babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani , Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Picha video kusindikizia uzi vipo wapi?
✍️
 
Nilikua Huko mwezi iliyopita , NAKAZIA !

Hatari sana mkuu na hili baridi sasa
IMG_3792.jpg

IMG_3791.jpg
 
Back
Top Bottom