Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Hao weny mchanganyiko na waarabu ni wazuri kwa sura na rangi angalau waoo vizuir ukianza Manyara,singida ,kondoa ,Tanga, Tabora.

Halafu kuna wachaga,wapare wana mchanganyiko na wazungu ni wazuri ila miguu kama mikono ya ndoo.
Duh
 
Mwanamke akiwa mzuri asiporinga nu takataka tuu. Yaani hajitambui na bila Shaka hajiamini
Raha ya Mwanamke aringe, ajishebedue,

Matokeo ya Mwanamke kutokuringa na kuwa na mazoea na kila Mwanaume huitwa Malaya.

Sisi wengine tunapenda Wanawake wanaoringa haswa. Hata kama tutakuwa tunazinguana nao lakini moyoni tuna- appreciate
[emoji23][emoji23][emoji23] Vipi akiwa mbaya kwa macho yako na bado akawa anaringa??
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Vipi akiwa mbaya kwa macho yako na bado akawa anaringa??

Mwanamke akishakuwa anaringa lazima atakuwa anajipenda, anavaa vizuri, anamadoido na mapozi, na swaga za kike.
Jambo ambalo hata kama atakuwa sio mzuri lakini atakuwa anavutia.

Kuna wengine ni Wazuri lakini hawavutii. .

Sasa kama namuona Mbaya yaani sio mzuri na bado havutii hapo nitashangaa kweli

Nadhani utakuwa umenielewa
 
Mwanamke akishakuwa anaringa lazima atakuwa anajipenda, anavaa vizuri, anamadoido na mapozi, na swaga za kike.
Jambo ambalo hata kama atakuwa sio mzuri lakini atakuwa anavutia.

Kuna wengine ni Wazuri lakini hawavutii. .

Sasa kama namuona Mbaya yaani sio mzuri na bado havutii hapo nitashangaa kweli

Nadhani utakuwa umenielewa
Nimekuelewa vizuri sana.
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Ukikaa mbulu na karatu watakuua kabisa wewe , kuwa makini huko kisonono ni nje nje.
 
Back
Top Bottom