Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Picha video kusindikizia uzi vipo wapi?
[emoji3578]
Zpo kama hiyo mkuu.
Screenshot_2023-07-14_122915.jpg
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Kumbe we tayari una tatizo la kksaikolljia la kujidharau kama mwafrika na kutukuza uarabu. Si uhamie uarabuni sasa uoe mwarabu kabisa? Au we mjomba wa DP WORLD?
 
Kaoe utakoma,wanawake hata wawe wameolewa lakini hawakatai mwanaume yoyote hao ni watu? We acha bana,wapende kwa sura zao,piga sepa...tuulize sisi tunaofanya kazi hapa miaka sasa

Na ukishapiga mala mbili tatu unawakinai,pamoja na uzuri lakini wachafu,inafikia kipindi unaanza kumuona anafanana na papai

Sema wewe utakua ni mgeni,nakusihi usije ukaoa pande hizi
KWA uchafu nakazia[emoji4]
 
Wageni wanababaika sana na rangi, na ule uchotara, ila hawana maumbo mazuri ya kutishia amani wana meno mabovu miguu spoku, na wengi wakizaa matumbo yanashuka balaa
[emoji38][emoji38][emoji38] duu
 
Kaoe utakoma,wanawake hata wawe wameolewa lakini hawakatai mwanaume yoyote hao ni watu? We acha bana,wapende kwa sura zao,piga sepa...tuulize sisi tunaofanya kazi hapa miaka sasa

Na ukishapiga mala mbili tatu unawakinai,pamoja na uzuri lakini wachafu,inafikia kipindi unaanza kumuona anafanana na papai

Sema wewe utakua ni mgeni,nakusihi usije ukaoa pande hizi
Duu watulivu hawapo
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Kwa hiyo rangi ya Kiafrica ni mbaya?,itakuwa ww ni:
1.Limbukeni
2.Mshamba
 
Back
Top Bottom