Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Wageni wanababaika sana na rangi, na ule uchotara, ila hawana maumbo mazuri ya kutishia amani wana meno mabovu miguu spoku, na wengi wakizaa matumbo yanashuka balaa
Kuna vyuma mama...vimekamilika japo vichache.
Ukimkuta amekamilika hata wewe ke utageuka kutazama.

Utakuta ana umbo kama la (Yule kiumbe)
Najua wajua
 
Wageni wanababaika sana na rangi, na ule uchotara, ila hawana maumbo mazuri ya kutishia amani wana meno mabovu miguu spoku, na wengi wakizaa matumbo yanashuka balaa
Duuuh wewe ndiyo unawajua sasa umeishi huko au???
Wanazeeka mapema Sana tumbo linatepeta kweli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .

Mwanamke akiwa mzuri asiporinga nu takataka tuu. Yaani hajitambui na bila Shaka hajiamini
Raha ya Mwanamke aringe, ajishebedue,

Matokeo ya Mwanamke kutokuringa na kuwa na mazoea na kila Mwanaume huitwa Malaya.

Sisi wengine tunapenda Wanawake wanaoringa haswa. Hata kama tutakuwa tunazinguana nao lakini moyoni tuna- appreciate
 
Wenyewe sio wachoyo wa K.

Akikuahidi ni saa Tisa mchana.

Ikitokea umebanwa na hujamtafuta.

Yeye mwenyewe anakutafuta huo muda kukukumbusha kua muda umefika ,umeshandaa mazingira ? Anataka kuja.

Na ndio hicho Kwa Wanawake wanaoambiwa hawaringi. Lazima Sifa Hii Mbaya wahusishwe nayo.

Raha ya kumuona Mwanamke iwe Dadaako, Binti yako au Mkewe usikie akiambiwa anaringa. Ujue hapo umepata
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Nimekuja mbio mbio nikitegemea kukutana na picha
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Kaoe utakoma,wanawake hata wawe wameolewa lakini hawakatai mwanaume yoyote hao ni watu? We acha bana,wapende kwa sura zao,piga sepa...tuulize sisi tunaofanya kazi hapa miaka sasa

Na ukishapiga mala mbili tatu unawakinai,pamoja na uzuri lakini wachafu,inafikia kipindi unaanza kumuona anafanana na papai

Sema wewe utakua ni mgeni,nakusihi usije ukaoa pande hizi
 
Back
Top Bottom