Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo .
Mapenzi yamezaliwa manyara (babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani , Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Picha video kusindikizia uzi vipo wapi?Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo .
Mapenzi yamezaliwa manyara (babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani , Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.
Mi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
NAKAZIA.Picha video kusindikizia uzi vipo wapi?
✍️
Kwao rangi hadimu hizo 😅Wapenda rangi wote lazima waseme hivyo hasa wanaume kutoka kanda ya ziwa yote, kigoma, na mbeya,
Patam Sana ,
Yani kiukweli hayo maeneo lazima wababaike sababu ya rangi,Kwao rangi hadimu hizo 😅
Na wengine unahisi tutasemaje K?Wapenda rangi wote lazima waseme hivyo hasa wanaume kutoka kanda ya ziwa yote, kigoma, na mbeya,
Kwa taarifa yako kuna Wairaq wana misimamo kuliko unavyofikiriWenyewe sio wachoyo wa K.
Akikuahidi ni saa Tisa mchana.
Ikitokea umebanwa na hujamtafuta.
Yeye mwenyewe anakutafuta huo muda kukukumbusha kua muda umefika ,umeshandaa mazingira ? Anataka kuja.
No, sio wote kabisa.Sema antenna ndio hawana ila wazuri maua yao wapewe tyu
Mmewazoea, hawana maajabu kihivyo km wanavyosemwa, kwa story za humu unaweza kuhisi wanaongelewa malaika kumbe saaasaNa wengine unahisi tutasemaje K?