Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Wanawake wa Babati ni wazuri kuliko uzuri wenyewe halafu hawaringi wala

Mwanamke akishakuwa anaringa lazima atakuwa anajipenda, anavaa vizuri, anamadoido na mapozi, na swaga za kike.
Jambo ambalo hata kama atakuwa sio mzuri lakini atakuwa anavutia.

Kuna wengine ni Wazuri lakini hawavutii. .

Sasa kama namuona Mbaya yaani sio mzuri na bado havutii hapo nitashangaa kweli

Nadhani utakuwa umenielewa
Rubi wa bongo Flava mbaya kinoma. Anavyoringa na kujisikia unasema huyu angekuwa mzuri sijui ingekuwaje?
Mungu anisamehe.
 
Mwanamke akishakuwa anaringa lazima atakuwa anajipenda, anavaa vizuri, anamadoido na mapozi, na swaga za kike.
Jambo ambalo hata kama atakuwa sio mzuri lakini atakuwa anavutia.

Kuna wengine ni Wazuri lakini hawavutii. .

Sasa kama namuona Mbaya yaani sio mzuri na bado havutii hapo nitashangaa kweli

Nadhani utakuwa umenielewa

Na dharau na jeuri je navyo wapenda pia ?
Maana huwa vinaendaga sambamba .
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Ni wazuri kweli
Na hawaringi kweli

Lakini ni kweli pia wanalika kirahisi sanaaa.
Ukioa kule kua makini(unaezapata wakueleweka), ila utasaidiwa sana
 
Wenyewe sio wachoyo wa K.

Akikuahidi ni saa Tisa mchana.

Ikitokea umebanwa na hujamtafuta.

Yeye mwenyewe anakutafuta huo muda kukukumbusha kua muda umefika ,umeshandaa mazingira ? Anataka kuja.
Yani uko sahihi 100%
 
Ni wazuri kweli
Na hawaringi kweli

Lakini ni kweli pia wanalika kirahisi sanaaa.
Ukioa kule kua makini(unaezapata wakueleweka), ila utasaidiwa sana
Ni wazuri hawajui kukataa ila ni Wakolofi sana! Warahisi kumkubali Mwanaume pia kuachana na Mwanaume ni haraka na kawaida kwao
 
Wasukuma wakifika huko watahonga zizi lote.
Maana haya majamaa ni heri uchezee mke wake kuliko binti yake mweupe. Usukumani binti akiwa mweupe anaozeshwa kwa ng'ombe nyingi kuliko mweusi.
 
Aliyesema mapenzi yamezaliwa Tanga akamatwe mara moja kwa uongo.

Mapenzi yamezaliwa Manyara (Babati) huku yaani kila mwanamke unayekutana naye unamtamani, Mama ntilie wanaouza supu wazurii yaani balaa tupu.

Mimi nkitaka kuoa ntakuja kuoa huku manyara babati ,bintis wa huku wana rangi ya uarabuni sio ya kiafrika .
Saitaa
 
Back
Top Bottom