WANAWAKE wa BONGO, wengi wanaongoza kwa kufanya biashara zisizo kuwa na TIJA.

WANAWAKE wa BONGO, wengi wanaongoza kwa kufanya biashara zisizo kuwa na TIJA.

Shuku_

Senior Member
Joined
Sep 26, 2019
Posts
174
Reaction score
216
Habari zenu wana MMU 👋🏽 👋🏽


Ktk kuishi kwangu na kuchunguza chunguza baadhi ya mambo, nmegundua kuwa wanawake wengi wamekuwa mstari wa mbele kwenye kumiliki biashara kubwa na ndogo ambazo zimekuwa hazina tija.


Hapa siwazungumzii wanawake wote bali hawa wanawake ambao wanatumia UHUSIANO wa kimapenzi kama ndo mtaji wa biashara kwa waume zao.


Wanawake hawa ambao uhusiano huwa ni mpya au wa muda mrefu, huwa na tabia ya kuiga baadhi ya wanawake wenzao ambao wapo kwenye biashara zao bila kujua huyo mwenzie anaye muiga biashara yake, Je ina tija au lah!.

________________________


Pia hawa wanawake wana SILAHA yao ambayo uitumia kama anataka kufanyiwa jambo.

SILAHA hiyo ni maneno haya… KAMA UNA NIPENDA NIFANYIE HIKI NA HAIKI.


Ndugu msomaji, kwa kweli maneno hayo unaweza kuyaona kama ni ya kijinga ila cku ukitamkiwa hayo ndo utajua kuwa SILAHA au UJINGA.


Kutokana na usumbufu huo wa MKE au HAWALA kwa MUMEWE au HAWALA wake.


Hali hyo imekuwa ikiwalazimu hao waume zao wawafungulie biashara wake zao au hawala zao bila kujali huyo anayetaka kufunguliwa biashara ana uzoefu gani na biashara hiyo!


Hivyo biashara izo huwa ni mizigo kwa waume zao, maana utakuta mwanamke yupo kwenye biashara yake lakini hiyo biashara imekuwa kama kijiwe cha mwanamke huyo kwenda kushinda kutwa nzima kwa kupoteza muda kisha jioni kurudi nyumbani.


Utakuta mume ni muajiriwa au umejiajiri, unalazimika kuchukua PESA ktk shughuli yako huku ukijua kabisa hii biashara ambayo mke wangu anataka kwenda kuifanya hatatoboa.


Tena hizo biashara zao zimekuwa hazina hata uwezo wa kuwalisha chakula cha kutwa, hivyo biashara hizo zimekuwa ni mizigo kwa waume zao na mwishowe hufa.


Yaani mume unamfungulia biashara mkewe au hawala ila bado utalipa kodi pa1 na mambo mengine yanayohusu biashara hiyo.


Mfano wa biashara hizo ambazo hazina TIJA ni…


1• SALUNI YA KIKE.

2• DUKA LA NGUO.

3• DUKA LA VIPODOZI.
 

Attachments

  • 1732353652563.jpg
    1732353652563.jpg
    392.7 KB · Views: 11
  • 1732353572107.jpg
    1732353572107.jpg
    433.3 KB · Views: 11
Habari zenu wana MMU 👋🏽 👋🏽


Ktk kuishi kwangu na kuchunguza chunguza baadhi ya mambo, nmegundua kuwa wanawake wengi wamekuwa mstari wa mbele kwenye kumiliki biashara kubwa na ndogo ambazo zimekuwa hazina tija.


Hapa siwazungumzii wanawake wote bali hawa wanawake ambao wanatumia UHUSIANO wa kimapenzi kama ndo mtaji wa biashara kwa waume zao.


Wanawake hawa ambao uhusiano huwa ni mpya au wa muda mrefu, huwa na tabia ya kuiga baadhi ya wanawake wenzao ambao wapo kwenye biashara zao bila kujua huyo mwenzie anaye muiga biashara yake, Je ina tija au lah!.

________________________


Pia hawa wanawake wana SILAHA yao ambayo uitumia kama anataka kufanyiwa jambo.

SILAHA hiyo ni maneno haya… KAMA UNA NIPENDA NIFANYIE HIKI NA HAIKI.


Ndugu msomaji, kwa kweli maneno hayo unaweza kuyaona kama ni ya kijinga ila cku ukitamkiwa hayo ndo utajua kuwa SILAHA au UJINGA.


Kutokana na usumbufu huo wa MKE au HAWALA kwa MUMEWE au HAWALA wake.


Hali hyo imekuwa ikiwalazimu hao waume zao wawafungulie biashara wake zao au hawala zao bila kujali huyo anayetaka kufunguliwa biashara ana uzoefu gani na biashara hiyo!


Hivyo biashara izo huwa ni mizigo kwa waume zao, maana utakuta mwanamke yupo kwenye biashara yake lakini hiyo biashara imekuwa kama kijiwe cha mwanamke huyo kwenda kushinda kutwa nzima kwa kupoteza muda kisha jioni kurudi nyumbani.


Utakuta mume ni muajiriwa au umejiajiri, unalazimika kuchukua PESA ktk shughuli yako huku ukijua kabisa hii biashara ambayo mke wangu anataka kwenda kuifanya hatatoboa.


Tena hizo biashara zao zimekuwa hazina hata uwezo wa kuwalisha chakula cha kutwa, hivyo biashara hizo zimekuwa ni mizigo kwa waume zao na mwishowe hufa.


Yaani mume unamfungulia biashara mkewe au hawala ila bado utalipa kodi pa1 na mambo mengine yanayohusu biashara hiyo.


Mfano wa biashara hizo ambazo hazina TIJA ni…


1• SALUNI YA KIKE.

2• DUKA LA NGUO.

3• DUKA LA VIPODOZI.
Mpe mtaji shemeji yetu mkuu. Atatoboa akusaidie majukumu
 
hZo biashara ulizozitaja mbona zinaweza mtoa mwanamke mpambanaji

Nilitegemea kuona biashara zile ndogo kama kuuza yebo yebo,nyanya au kuchoma maandaz au vitumbua

Ukishamfungulia,mlipie kodi miezi 6 ya mwanzo baada ya hapo inatakiwa alipie mwenyewe
 
Habari zenu wana MMU 👋🏽 👋🏽


Ktk kuishi kwangu na kuchunguza chunguza baadhi ya mambo, nmegundua kuwa wanawake wengi wamekuwa mstari wa mbele kwenye kumiliki biashara kubwa na ndogo ambazo zimekuwa hazina tija.


Hapa siwazungumzii wanawake wote bali hawa wanawake ambao wanatumia UHUSIANO wa kimapenzi kama ndo mtaji wa biashara kwa waume zao.


Wanawake hawa ambao uhusiano huwa ni mpya au wa muda mrefu, huwa na tabia ya kuiga baadhi ya wanawake wenzao ambao wapo kwenye biashara zao bila kujua huyo mwenzie anaye muiga biashara yake, Je ina tija au lah!.

________________________


Pia hawa wanawake wana SILAHA yao ambayo uitumia kama anataka kufanyiwa jambo.

SILAHA hiyo ni maneno haya… KAMA UNA NIPENDA NIFANYIE HIKI NA HAIKI.


Ndugu msomaji, kwa kweli maneno hayo unaweza kuyaona kama ni ya kijinga ila cku ukitamkiwa hayo ndo utajua kuwa SILAHA au UJINGA.


Kutokana na usumbufu huo wa MKE au HAWALA kwa MUMEWE au HAWALA wake.


Hali hyo imekuwa ikiwalazimu hao waume zao wawafungulie biashara wake zao au hawala zao bila kujali huyo anayetaka kufunguliwa biashara ana uzoefu gani na biashara hiyo!


Hivyo biashara izo huwa ni mizigo kwa waume zao, maana utakuta mwanamke yupo kwenye biashara yake lakini hiyo biashara imekuwa kama kijiwe cha mwanamke huyo kwenda kushinda kutwa nzima kwa kupoteza muda kisha jioni kurudi nyumbani.


Utakuta mume ni muajiriwa au umejiajiri, unalazimika kuchukua PESA ktk shughuli yako huku ukijua kabisa hii biashara ambayo mke wangu anataka kwenda kuifanya hatatoboa.


Tena hizo biashara zao zimekuwa hazina hata uwezo wa kuwalisha chakula cha kutwa, hivyo biashara hizo zimekuwa ni mizigo kwa waume zao na mwishowe hufa.


Yaani mume unamfungulia biashara mkewe au hawala ila bado utalipa kodi pa1 na mambo mengine yanayohusu biashara hiyo.


Mfano wa biashara hizo ambazo hazina TIJA ni…


1• SALUNI YA KIKE.

2• DUKA LA NGUO.

3• DUKA LA VIPODOZI.
Mwanamme hawekewi ultimatum.

Mwanamke akikwambia "kama unanipenda nifanyie hivi" mwambie basi kuanzia leo sikupendi.

Ukishindwa basi huyo ndiye saizi yako mwachie tu akutawale.

Wanawake wote hawa bado mwanamme unapangiwa cha kufanya?

Acha ujinga.
 
Neno TIJA ni dude kubwa sana mkuu. Ukienda mbali zaidi kwa hapa Tanzania, ondoa neno wanawake na uweke neno watanzania.

Shughuli nyingi za kiuchumi Tanzania hazina TIJA ndo maana hakuna ukuaji wa kiuchumi unaomgusa kila mwananchi.
 
Mwanaume anayefanya hivo ni mzembe na hana maono mazuri juu ya biashara! Once ukishafungua biashara baada ya muda biashara inatakiwa ijiendeshe yenyewe na sio kutoa pesa mfukoni ili kuiendesha. Ukiona umemfungulia hawala biashara na anashindwa hata kumudu operation cost kama kodi mpaka pesa itoke mfukoni mwako tena UMEKWISHA! achana na hiyo biashara.
 
Habari zenu wana MMU 👋🏽 👋🏽


Ktk kuishi kwangu na kuchunguza chunguza baadhi ya mambo, nmegundua kuwa wanawake wengi wamekuwa mstari wa mbele kwenye kumiliki biashara kubwa na ndogo ambazo zimekuwa hazina tija.


Hapa siwazungumzii wanawake wote bali hawa wanawake ambao wanatumia UHUSIANO wa kimapenzi kama ndo mtaji wa biashara kwa waume zao.


Wanawake hawa ambao uhusiano huwa ni mpya au wa muda mrefu, huwa na tabia ya kuiga baadhi ya wanawake wenzao ambao wapo kwenye biashara zao bila kujua huyo mwenzie anaye muiga biashara yake, Je ina tija au lah!.

________________________


Pia hawa wanawake wana SILAHA yao ambayo uitumia kama anataka kufanyiwa jambo.

SILAHA hiyo ni maneno haya… KAMA UNA NIPENDA NIFANYIE HIKI NA HAIKI.


Ndugu msomaji, kwa kweli maneno hayo unaweza kuyaona kama ni ya kijinga ila cku ukitamkiwa hayo ndo utajua kuwa SILAHA au UJINGA.


Kutokana na usumbufu huo wa MKE au HAWALA kwa MUMEWE au HAWALA wake.


Hali hyo imekuwa ikiwalazimu hao waume zao wawafungulie biashara wake zao au hawala zao bila kujali huyo anayetaka kufunguliwa biashara ana uzoefu gani na biashara hiyo!


Hivyo biashara izo huwa ni mizigo kwa waume zao, maana utakuta mwanamke yupo kwenye biashara yake lakini hiyo biashara imekuwa kama kijiwe cha mwanamke huyo kwenda kushinda kutwa nzima kwa kupoteza muda kisha jioni kurudi nyumbani.


Utakuta mume ni muajiriwa au umejiajiri, unalazimika kuchukua PESA ktk shughuli yako huku ukijua kabisa hii biashara ambayo mke wangu anataka kwenda kuifanya hatatoboa.


Tena hizo biashara zao zimekuwa hazina hata uwezo wa kuwalisha chakula cha kutwa, hivyo biashara hizo zimekuwa ni mizigo kwa waume zao na mwishowe hufa.


Yaani mume unamfungulia biashara mkewe au hawala ila bado utalipa kodi pa1 na mambo mengine yanayohusu biashara hiyo.


Mfano wa biashara hizo ambazo hazina TIJA ni…


1• SALUNI YA KIKE.

2• DUKA LA NGUO.

3• DUKA LA VIPODOZI.
HAWALA= HAWARA
 
Back
Top Bottom