Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Wamegoma kukaa
watumie wananfamilia bana si ngoja tuendelee na kazi..................Fatilia mwenyewe hapa StarTV Live | StarTV
ndio shida ya kujaza machangu bungeni, kwani wamekatazwa kugombea?
Hoja ya Wenje imejieleza vizuri sana na kwa hakika kama mwenyekiti angekuwa na busara basi angechukua hoja ya Wenje.
Hoja yenyewe ilikuwa ni kwamba, mwenyekiti, makamu mwenyekiti au kiongozi yeyote asichaguliwe kwa kuangalia jinsia yeke, bali uwezo wake.
Najaribu kuimagine wangechaguliwa hao wadada tu kwenye uongozi, sijui wanaume wangeichukuliaje hii.
CCM walipalilia huu upuuzi wenyewe kwa Anna Makinda,sasa hapo anapigiwa mtu chapuo hata kama uwezo ni hovyo lakini atapewa!!
Tunahitaji mwenyekiti na makamu mwenyekiti mwenye sifa haijalishi ni wote wanawake au wanaume isije ikawa kama wakati wa kutafuta spika wa bunge la jamhuri la muungano ambapo watanzania walitaka spika CCM wakamleta mwanamke na si spika.