Wanawake wa chachamaa bungeni, Kificho ikabidi asimame

Wanawake wa chachamaa bungeni, Kificho ikabidi asimame

hapa ni mazingaombwe tu. walianza kama mwenyekiti akitoka bara basi makamu atoke zenji,leo wanakuja la hili.
hapo inaonyesha makamu atatoka zenji na atakuwa mwanamke?JE kuna mwanamke katika hao wajumbe kutoka zenji mwenye uwezo na vigezo vya kuwa makamu au ndio tutachagua tu for the sake of gender balance?
hawakawii kuweka na udini hapa
Yupo anauwezo mzuri sana wala usihofu ndugu.
 
No offence, lakini tatizo lingine linaloendelea hivi sasa bungeni ni kutoka toka kwa ndugu zangu waislamu.

Binafsi ni muislamu, na tunatambua wazi kama kuna jambo la dharura limejitokeza, basi imani yeti inaturuhusu kufanya ibada baadae nje na ule muda wetu maalumu.

Sasa kwa hali hii ya ndugu zangu kutoka na kuliacha bunge linaendelea watakuwa na tija gani kwa taifa?! Kwenye hili ndugu zangu hawa sidhani kama wametumia hekima kuamua.

Mangapi tunafanya na kuacha ibada haswa ya adhuhuri (saa 7)? Sembuse kuvumilia bunge maalumu la katiba kwa ajili ya maslahi ya taifa?
 
Hiyo siku bunge litawaka moto na mjadala kuhusu serikali tatu

wewe tizama tu issue ya kupitisha kanuni inavyowahenyesha siku ya UKOMBOZI wa tanganyika na Zanzibar si ngio itakuwa kasheshe... ni kweli lazima bunge litaongezewa muda au litavunjwa wakaweke mambo sawa...vingivevyo hakuna namna tukubali tukatae...
 
Wanataka HAKI kama mwenyekiti akichaguliwa mwanaume basi makamu mwenyekiti awe mwanamke.
Kwa sababu hili ni bunge la katiba na hawa wamama wameamuwa kutumia vijambio kufikiri basi wasiishie hapo bali hata Rais akiwa mwanaume basi makamu awe mwanamke na kinyume chake. Hatuhitaji tena vigezo vya uongozi nchi hii.
 
No offence, lakini tatizo lingine linaloendelea hivi sasa bungeni ni kutoka toka kwa ndugu zangu waislamu.

Binafsi ni muislamu, na tunatambua wazi kama kuna jambo la dharura limejitokeza, basi imani yeti inaturuhusu kufanya ibada baadae nje na ule muda wetu maalumu.

Sasa kwa hali hii ya ndugu zangu kutoka na kuliacha bunge linaendelea watakuwa na tija gani kwa taifa?! Kwenye hili ndugu zangu hawa sidhani kama wametumia hekima kuamua.

Mangapi tunafanya na kuacha ibada haswa ya adhuhuri (saa 7)? Sembuse kuvumilia bunge maalumu la katiba kwa ajili ya maslahi ya taifa?
Kwa bandiko hili uwe tayari kuitwa majina yote ya kejeri na wale waislamu fake wa hapa JF.

Hata mimi najuwa wakati wa Ramadhani ukifungulia unalipiza baada ya mfungo, watu wanacheza na katiba!
 
No offence, lakini tatizo lingine linaloendelea hivi sasa bungeni ni kutoka toka kwa ndugu zangu waislamu.

Binafsi ni muislamu, na tunatambua wazi kama kuna jambo la dharura limejitokeza, basi imani yeti inaturuhusu kufanya ibada baadae nje na ule muda wetu maalumu.

Sasa kwa hali hii ya ndugu zangu kutoka na kuliacha bunge linaendelea watakuwa na tija gani kwa taifa?! Kwenye hili ndugu zangu hawa sidhani kama wametumia hekima kuamua.

Mangapi tunafanya na kuacha ibada haswa ya adhuhuri (saa 7)? Sembuse kuvumilia bunge maalumu la katiba kwa ajili ya maslahi ya taifa?

Ndo maana zile shule zenu huwa mnafeli kwa ujinga ujinga kama huu...
 
udhaifu wa huu mchakato ulianzia mwanzo na wale wanaotaka kuujua mwisho wake wasitegemee kitu tofauti.
Hivi fikiria hii ni week ya tatu wameshateketeza mabillion lakini hawajajadili hata kitu kimoja. Mwenye mashaka ya kujua Watanzania tu watu wa aina gani, mbali na utendaji mbovu wa serikari basi aangalie udhaifu wa bunge letu la kawida na asiporidhika basi aangalie hili Bunge maalum.
 
Leo katika mjadala ulioibuka katika bunge la Katiba kuhusu usawa kijinsia ambapo baadhi ya wajumbe wametaka iwapo mwenyekiti anakua mwanaume basi makamu wake awe mwanamke ambacho kimeonekana kukiuka kanuni za kisheria kutokana na "determining factor" kuwa ni utanganyika au uzanzibari.

Katika malumbano hayo ya hoja Mh. Asharose Migiro ambaye ni waziri wa katiba wa serikali ya Muungano ameonekana kushindwa hoja na mwanafunzi wake ambaye ni Mwanasheria mkuu wa zanzibar katika hoja hiyo ambapo Migiro ametaka uwiano wa kijinsia uzingatiwe kwa madai haukiuki kanuni za kisheria na kwa upande wake mwanasheria mkuu wa Zanzibar akasema utaratibu huo utakiuka kanuni kutokana na ukweli kuwa iwapo sheria ikiwa "specific" katika kulitamka jambo basi hiyo ndio itafuatwa na lile ambalo litakua limetamkwa "generally" litawekwa kando.

Kimsingi Suala la kulazimisha uwiano wa kijinsia juu ya wiano wa kimuungano hautakua na mguso wa kisheria hivyo wiano "determining factor" inapaswa kuwa moja tu kwani ikiongezeka nyingine itakua inatoa "unnecessary compels" ambazo pia zitakandamiza demokrasia.

Katika mjadala huo Mh. Anna Abdalla ametoa mwongozo mzuri sana akikusudia kwamba, mwanamke achaguliwe kwa uwezo wake na sio kwa jinsia yake vivyo hivyo kwa mwanaume. Kiukweli watu wengi wamekua na mtazamo hafifu sana kuhusiana na usawa wa kijinsia kinachosikitisha hata mtu wa "caliber" ya Asharose Migiro!!??
 
No offence, lakini tatizo lingine linaloendelea hivi sasa bungeni ni kutoka toka kwa ndugu zangu waislamu.

Binafsi ni muislamu, na tunatambua wazi kama kuna jambo la dharura limejitokeza, basi imani yeti @inaturuhusu kufanya ibada baadae nje na ule muda wetu maalumu.

Sasa kwa hali hii ya ndugu zangu kutoka na kuliacha bunge linaendelea watakuwa na tija gani kwa taifa?! Kwenye hili ndugu zangu hawa sidhani kama wametumia hekima kuamua.

Mangapi tunafanya na kuacha ibada haswa ya adhuhuri (saa 7)? Sembuse kuvumilia bunge maalumu la katiba kwa ajili ya maslahi ya taifa?

Sasa nimeamini tunaandika katiba mpya, siamini kama wewe leo ndio unaongea point kiasi hiki. Hapa lazima tuwe wamoja sio utani. Ongea na kina msalani, ritz nk tupiganie miaka 50 ijayo kwanza
 
Lakini Dr. Asha Rose Migiro amefafanua zaidi kwa kusema sio lazima awe mwanamke kwakuwa kinachotakiwa ni sifa lakini akipatikana mwanamke mwenye sifa itakuwa bora zaidi.
 
Kwani kule Ujerumani yule Chancellor Angel Mickael ni wa viti maalum? halafu wakifika nyumbani ndio wanatambuwa kwamba baba ndio kichwa kila aina ya matumizi baba ndio anagharamia. wanafki sana hawa nyoka wanaoitwa Eva.

kuna mdau kasema hawa wanapenda saana kupigania Upendeleo na sio haki sawa.
 
Kwa bandiko hili uwe tayari kuitwa majina yote ya kejeri na wale waislamu fake wa hapa JF.

Hata mimi najuwa wakati wa Ramadhani ukifungulia unalipiza baada ya mfungo, watu wanacheza na katiba!

Udhuru za sala ni mbili tu kulala au kusahau
 
Back
Top Bottom