No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,063
- 12,563
Sure mkuu...pia kama unafamilia, usafiri utakuepusha na mengiKuna umuhimu wa kumiliki chombo cha usafiri maana hii si sawa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure mkuu...pia kama unafamilia, usafiri utakuepusha na mengiKuna umuhimu wa kumiliki chombo cha usafiri maana hii si sawa
Utatombeka kwenye Mwendokasi we singizia Joto kitu kina Joto HICHO kinasaka pa kupunguzia Joto kikikutana na UKUNI raha mu stareheJoto bro joto, sio kwamba tunapenda....😔
mkuu hamna kapichaKweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma.
Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
😎 😎😎
Mjini jotoKwa hiyo nyinyi mnaokaa mjini mnaona ni sawa tu?
Wee mwanawane bbia tako hilo upate utamuKweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma.
Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
😎 😎😎
Hahaha kwa hiyo mashine inachemkaJoto bro joto, sio kwamba tunapenda....😔
Joto kali hamtaki nyapu ziloe kwa jotroo!Joto bro joto, sio kwamba tunapenda....😔
Dar joto kakaMbona now ni mwezi wa baridi sana 😂😁😎
Sio kweli dar ipi mbona now dar ni baridi sana Cc ephen_Dar joto kaka
Ni dhahiri wewe ndio haupo timamu.Mtu yeyote mwanamke kwa mwanaume above 35 years anaepanda huo usafiri hayupo timamu, ulitakiwa kwa umri huo uwe angalau na ist.waachieni wanafunzi usafiri wa uma .
Ungempisha siti akaeMkuu umenikumbusha jumatatu nikiwa kwenye daladala kuna binti alikuja kusimama mbele yetu tulikuwa tumekaa siti ya nyuma kabisa yeye akawa kasimama kaangalia mbele aisee amevaa kishati kifupi na kisuruali kinalegea kiuoni kwahiyo kiuno chote nje na amevaa shanga nyingi zinameremeta kiunoni. Nadhani alikuwa anafanya kusudi baada ya kuona kule nyuma tumakaa wanaume tu hakukuwa na wanawake maana alishika bomba kwa mikono yote miwili kiuno hiki hapa aiseee alinitia kichefchef sana yule malaya