Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa 🤣😎😎Dar baridi wakati wa alfajiri
Dar kipande ya mbagalaSio kweli dar ipi mbona now dar ni baridi sana Cc ephen_
Kigambonino huku baridi linapiga sana asubuhiDar kipande ya mbagala
Mjukuu yamekukuta ? Inasemekana anayevaa hicho kitu ni zarithebosslady tu, wengine ni hivyo hivyo
Hiyo ya kujirusha nimeshaiexperience hatari sana🤣🤣 af wanafanya kusudi walahiAcha hawa wadada nani alirealize wamama hata wadada baadhi mibonge Yani hawanaga aibu mpande usafiri wa umma anakusugua kabisa na haoni aibu unasogea mpeane nafasi na yeye anakufata anajua umesogea NAE asogee
Au ile amekukuta umekaa kwa siti anavyojitupia na wewe anakuunganisha pwaaa au ndio aanze kusettle vizuri afu akiona umereact anakwambia pole😅😅
Wanaboaga sana anakukalia kabisa 😂Hiyo ya kujirusha nimeshaiexperience hatari sana🤣🤣 af wanafanya kusudi walahi
wewe hupendi? wacha tuenjoy mema ya ulimwengu.Kweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma.
Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
😎 😎😎
Mkuu mbona umeandika kwa haraka hivyo? Umemgonga mmoja au nini? Hebu tupe ubuyu vizuri mwamba.Kweli Dar es Salaam imejaa vituko, vitimbi na watu wenye matatizo ya akili. Hivi inawezekanaje mwanamke uliyepevuka kiakili na utimamu wa mwili unaenda kupanda usafiri wa umma(daladala au mwendokasi) hujavaa nguo yoyote ya ndani (iwe ni underwear or tight) na wakati huo huo ukitambua kwamba kuna msongamano mkubwa kwenye usafiri wa umma.
Au ndo biashara siku hizi zimeahamia kwenye usafiri wa umma? Ama kweli ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni
😎 😎😎
Wacheni uwongo bwana hizo mbususu zimeumbwa na so much intelligence zina self cooling systemJiji lina joto mno... tunapunga upepo🤣