Wanawake wa Dar es Salaam nani kawaloga?

Hebu nisaidieni

Chupi ina faida gani kuvaliwa?

Akiivaa mwanamke miraba yake ikajichora kwenye suruali ama sketi inasemwa, hawa wanawake wa siku hizi adabu hawana, chupi inaonekana.


Asipovaa kabisa ataitwa majina yote! Chupi ina faida ganiiiii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…