Sijasema siwezi kumsaidia mama mtu mzima au baba mtu mzima la hasha! Ila siwezi na sitokaa niweze kumpisha mwenye mimba na mtu mzee bila kujali jinsia yake daima.Pisha wa mwenzako ipo siku na wenzako watapisha wakwako, ni sawa ukutane na mtu mwenye umri wa mamako anahitaji msaada unasema haumsaidii hajakuzaa! Tukiishi hivyo hatufiki, saidi wangu kesho mi ntasaidia wako
Sent using Jamii Forums mobile app
Nataka uiache michepuko yako yoooote nibakie mimi tu.mi nilikuahidi utakuwa wa pekee kama moyo
we niambie unataka nini
Hiyo ni treatment special kwa ajili ya hao wanawake wa DarHuyo bidada kazi anayo maana hayuko free kwenye tendo.
Kwa ufupi tu watu wote wanaoishi Dar kwa muda mrefu aidha kukulia , wake kwa waume adabu zo hupungua sana ukilinganisha na mikoani ,Nina miaka 27 toka nihamie Dar kutoka mkoani. Wanawake wa mikoani hususani kanda ya ziwa wana adabu sana. Ukikutana naye njiani lazima akupishe. Tofauti na wanawake wa Dar hawakupishi. Ukitembea njiani kwa matumaini kwamha huyo mwanamke wa Dar unayekutana naye na yuko kwente saiti yako akupishe basi tegemea kupigwa kikumbo. Hakupishi! Na akikupiga kikumbo hajali......! Yeye anarndelea na safari zake tu.
Sasa tabu yake ni kwamba akiwa kwenye saiti yake anataka umpishe na akiwa kwenye saiti yako anataka umpishe wewe.
Yaani wajeuri na wanadharau sana.
Fanya utafiti kuanzia leo utakubali ninayokwambia. Kwa kumalizia wanawake wa Dar hata salamu ni mpaka umuanze wewe mwanaume. Ukisubiri akuanze kukusalimia atakupita kama hakujui.
.
Sent using Jamii Forums mobile app
niletee bible nile kiapoNataka uiache michepuko yako yoooote nibakie mimi tu.
Wewe kabisaaa!! Kesho takukuta mtaa wa pili unamendea vibinti vya watu.niletee bible nile kiapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanawake wa Dar wanalazimisha kutongozwa, ndiyo maana akigundua unampotezea anakupiga kikumbo ili umuone japo umuombe namba ya simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
nitaacha kabisaWewe kabisaaa!! Kesho takukuta mtaa wa pili unamendea vibinti vya watu.
[emoji848][emoji848]nitaacha kabisa
Nimecheka sana hii. Daaaaah......Wanawake wa Dar ndiyo walivyo, hata mnavyofyatuana na wao wanataka waje juu inakuwa kama na yeye anakutia, mimi huwa nawakatalia nawambia tulia chini na usikatike tulia mimi ndiyo nakutia sio wewe unanitia mimi
HahahahaWanawake wa Dar wanalazimisha kutongozwa, ndiyo maana akigundua unampotezea anakupiga kikumbo ili umuone japo umuombe namba ya simu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahah mwendo wa masaa manne c mchezo....Mbona husemi ninyi tunavyogombania siti kwenye daladala, mwanaume wa dar hakubali eti aachie siti dada/ mama yake akae ila wa mkoani hawanaga ajizi anaweza kukuachia siti ye asimame toka Iringa hadi makambako [emoji12][emoji12]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatari mkuu kuwa mwanaume wa mkoani kipajiHahahah mwendo wa masaa manne c mchezo....
am better here
Hahahahaha....Nikiwa nimedetect huyu anayekuja mbele yangu lengo lake ni kupigana kikumbo hua naonyesha kama vile na mimi nataka tupigane kikumbo halafu namkwepa. Hua nacheka wanavyopepesuka.