tejo5
Member
- Mar 26, 2017
- 16
- 17
Mimi apaMimi naskia wapo ila sijawahi kukutana nao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi apaMimi naskia wapo ila sijawahi kukutana nao
Mkuu na wewe kabisha utashika embe lililooza na ulitolee pesa?ukilipa wakat limeoza ?
Njoo basi nikuone...ukijitaja nitaishia kuskia tu....Mimi apa
Hahahha njoo kwetu unioneNjoo basi nikuone...ukijitaja nitaishia kuskia tu....
Utajuta kuzaliwa utapo oa kahaba mstaafu Oh mkuu usio binti ambaye hauijui background yake?Sometimes you can make jokes lakn sitarajii kuja kutafta mke mtandaon mkuu.
mengine nje ni mazuri ila ndani sasa ndo mtihaaniMkuu na wewe kabisha utashika embe lililooza na ulitolee pesa?
Khaaah kwani ndiyo tumeshatongozana? Lazima tukutane tuthaminishane nikuone unavyotabasamu. Sasa nikifika kwenu nisemejeHahahha njoo kwetu unione
Hahaa ni sahihi ila uwez poteza wakununua kwa kutowaonjesha sababu ya wachache wasonunuaWateja wengine wakisha onja hawanunui.
View attachment 488535.Mkuu baina ya pipi hizi mbili utachagua ipi
Wa Swahili wanasema Ukiona kofia inakutosha basi ivae!!!Una uhakika gani kama humo ndani ya ganda kuna pipi?!kama wameweka jiwe je?!
Wa Swahili wanasema Ukiona kofia inakutosha basi ivae!!!
View attachment 488535.Mkuu baina ya pipi hizi mbili utachagua ipi
Hivi selection za hawa wanafunzi wanaoenda kidato cha tano bado tu?? Mawazo mgando haya ni shida sanaMi nataka kuulza eti kuna baadhi ya wanawake kufanya nao mapenzi mpaka uoe? na je inaleta sense kwel!
Una uhakika gani kama humo ndani ya ganda kuna pipi?!kama wameweka jiwe je?!
Nyumbani wapHahahha njoo kwetu unione