Eng ibird
JF-Expert Member
- Nov 19, 2021
- 707
- 1,017
Wanaoweka breach kchwan nao wa kuliwa tuHapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.
Wanawake wa namna hii ishia kula tu,usidhubutu kuoa.
1.Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.
2.Waliotoboa pua.
3.Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.
4.Wanaopenda club na pombe kwa wingi.
5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.
6. Wanaotoa kinyume na maumbile.
7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.
8. Mwanamke asiye na akili.
Ongeza na wewe bila chuki
Wanaotoboa pua
Waliopga tatoo