Inna
JF-Expert Member
- Jan 13, 2017
- 11,193
- 27,078
Daaaaah😂😂Umeshaolewa au bado? Kama bado njoo PM nitumie namba yako pia niambie nikutumie kiasi gani.
Kama umeolewa sikutumii atakutumia mume wako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaaah😂😂Umeshaolewa au bado? Kama bado njoo PM nitumie namba yako pia niambie nikutumie kiasi gani.
Kama umeolewa sikutumii atakutumia mume wako.
Ni sisiHahaaa wavaa vikuku au kina nani nyie?
Ni sisi ndio tupo....
wengne hatuwez omba pesa, mpka tupewe maana kama n wajibu wako bas tekeleza bila shuruti 😊Manzi ambae haniombi hela siwezi kumuoa.
Mwanamke ni kama maji yani....Hatuwataki Sasa!!
12. Mwanamke mchawi usioeHapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.
Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.
1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.
2. Waliotoboa pua.
3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.
4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.
5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.
6. Wanaotoa kinyume na maumbile.
7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.
8. Mwanamke asiye na akili.
9. Mwanamke mwenye tatoo
10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara
11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.
Ongeza na wewe bila chuki
hata kula usikuleM
12. Mwanamke mchawi usioe
Kabsa.hata kula usikule
Wanawake wanaovaa viatu vya hiviView attachment 2045639
Mwanamme ni kama Nini??Mwanamke ni kama maji yani....
[emoji3]Hiyo Namba 6 itakudanganya Mkuu...asipotoa kwako; kuna sehemu atakwenda kutoa. Hivyo ni heri uile tu...isiwe kigezo cha kuacha kuoa.
Kuna mavazi ya kila eneo. Huwez vaa kimini kanisani au ukweni. Ukipata mwanamke wa kimasai ambaye vikuku wanavaa mpaka wanaume hutompeleka kwenu?
Mchagua jembe si mkulima