Wanawake wa hivi ni wa kula tu, usioe

Wanawake wa hivi ni wa kula tu, usioe

M
Hapa hakuna chuki, tunatoa maelekezo kwa vijana wanaotafuta wake.

Wanawake wa namna hii ishia kula tu, usidhubutu kuoa.

1. Wanaovaa vikuku. Kama unabisha mpeleke kwa mama yako akiwa na kikuku.

2. Waliotoboa pua.

3. Wanaovaa suruali za kubana na vimini. Kama unabisha mpeleke kwa baba yako akiwa na mini.

4. Wanaopenda club na pombe kwa wingi.

5. Waliojichubua,anakuwa kama kapanya kamepakwa unga.

6. Wanaotoa kinyume na maumbile.

7. Wanaopanda vyeo kisiasa sababu ya kuwa karibu na wazee wa chama,wakati mweupe.

8. Mwanamke asiye na akili.

9. Mwanamke mwenye tatoo

10. Mwanamke anayetumia tako kama msingi wa biashara

11. Mwanamke msela kujimiksi na wavulana ni laana.

Ongeza na wewe bila chuki
12. Mwanamke mchawi usioe
 
.
20211216_174748.jpg
 
Ili uwe mkulima mzuri lazima uchague jembe, mbegu na uzingatie muda wa kilimo.
Kumbuka ndoa siyo ngono. Kuna mambo mengi yanayobeba ndoa. Utakuja shangaa, mbona ndoa za wenzako zinafuraha sana
Kuna mavazi ya kila eneo. Huwez vaa kimini kanisani au ukweni. Ukipata mwanamke wa kimasai ambaye vikuku wanavaa mpaka wanaume hutompeleka kwenu?


Mchagua jembe si mkulima
 
Back
Top Bottom