Wanawake wa hivi ni wa kula tu, usioe

Wanaoweka breach kchwan nao wa kuliwa tu
Wanaotoboa pua
Waliopga tatoo
 
Mwanamke mpumbavu sio wa kuoa....

Rejea maana halisi ya neno MPUMBAVU
 
Afu ukichunguza mdomo pistol wanabahati sana ndoa
 
Hakuna unaya au uzuri wa mwanamke... Ninacho juwa mwanamke akikupenda ana acha yote nakukufuwata... Nje ya hapo sijuwi.
 
8.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
I concur with you broo
 
Wanawake wanaovaa viatu vya hivi
 
Mwanamke anaeweka mikucha bandia mikono yote, mkono wa kulia na wakushoto kwote ana mikucha bandia mirefuuu. Hapo lazima unajiuliza maswali mengi hasa kwenye suala la usafi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…