Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

MIE NIPO HUMU KITAMBO KUNA MDADA ASHAWAI KUNIANZISHIA THREAD NIACHE KUMTONGOZA JINA NAMUIFADHI,NA KUNA DADA MWINGINE ASHAWAHI KUMUANZISHIA JAMAA FULANI NYUZI HADI LEO MAADUI
Aisee sasa si mngemalizana vzr tu na ww ulijuaje kama thread inakuhusu ww
 
Ha ha ha usinikumbushe fulani alimshobokea dada fulani hivi, kapewa namba fasta siku kaenda kuonana kakuta anamzidi mama ake miaka miwili ha ha ha ha ha yalimshuka
Hahahhhh akaja kuanzisha thread kakutana na bibi
 
Back
Top Bottom