miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
Ha ha hadaah!pole sana aiseehh!!
mie ukinitukana!!!utajutraaa!
Umejuaje kama nina rungo nataka nikuchape nalo? ?Karibu bwana Afande.... Nikiscreenshot we nitie virungu tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] loooh!Hakuanzisha ha ha ha ni mwanaume ndo maana
Ila angekua mvulana huyo bibi sijui angeficha wapi mvi zake
Ni kurusha tu ndoano kama mvuvi.... Akija sato haya, kikija kidagaa haya, ukipata perege twende, ukipata papa twendeee 😀Hivi humu JF unafata nini PM ya mwanamke ambae hata hujui sura yake, ambae unahisi ni mwanamke waweza kuta ni janaume limechill aisee...kuna vitu vinashangaza sana...
Tukayamalizie pm basi hapa nomaUmejuaje kama nina rungo nataka nikuchape nalo? ?
Vidume hewa men with no ballsWacha kabisa yani. Eti unakuta wanaongea kabisa flani tayari nishapita pale... Hana lolote yule usimwone vile na maneno yao mbofu mbofu kibao
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ni kurusha tu ndoano kama mvuvi.... Akija sato haya, kikija kidagaa haya, ukipata perege twende, ukipata papa twendeee 😀
Wanatakiwa wawe kama wavuvi ilmradi kitoweo ha ha ha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Haaaa nilipataga nyangumiNi kurusha tu ndoano kama mvuvi.... Akija sato haya, kikija kidagaa haya, ukipata perege twende, ukipata papa twendeee 😀
[emoji23] [emoji23] try and error hiyo inaitwa!!Wanatakiwa wawe kama wavuvi ilmradi kitoweo ha ha ha
Ha ha ha
hongeraHaaaa nilipataga nyangumi
Bwege gani uyo asiyejua thamani ya papuchi mpka anaenda kutangazaAsa ukimpa anatangazaaa...!!
Hongera, unaliburuza tu hadi nchi kavu unaanza kulila taratibu li nyangumi lako.....Haaaa nilipataga nyangumi
Ya nini wakati nilikimbiahongera
A million dollar question, inakuwaje @evalyn salt ana info za kutosha za private messages watu tofauti?Inakuwaje wewe una infos nyingi za yanayotokea PM za watu?! Alaaniwe aliegundua screenshot!
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nyangumi ndo mzuri sasa?Ya nini wakati nilikimbia
Haaaa lilikimbia lenyewe bt lilikua laonekana tamu sana sema tatzo liko mbaliHongera, unaliburuza tu hadi nchi kavu unaanza kulila taratibu li nyangumi lako.....
Hiyo ni "tia mkono upapase" utakachopata hicho hicho[emoji23] [emoji23] try and error hiyo inaitwa!!
utajijuu!!
Kabisa maana vidagaa mnasumbua[emoji23] [emoji23] [emoji23] nyangumi ndo mzuri sasa?