Wanawake wa JamiiForums kwanini mnafunga PM zenu?

Mi natamani mods waturuhusu japo kidogo atajwe tumpe vipande vyake hadharani akome hiyo tabia yake
Ama kweli huyo mtu kakukera maana sijawahi kukuona umekasirika hivi.

Nahisi ukiweza kumpata huyo jamaa unaweza hata kumniga na kumparua na kucha.......ukisaidiana na K[emoji3]
 
Alisema hakupendagi eti unajishaua ha ha ha ha ha ha ha, akasema na watu wawili ambao ni madem zako ushawagonga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Oh kumbe naye hanipendagi? Ahahaaa....naona kuna behewa zima la wasiopnipenda humu JF. Vituko!

Halafu mbona alinipunja.....manake listi ya mademu ambayo huwa inasambazwa ina majina kama 10.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Oh kumbe naye hanipendagi? Ahahaaa....naona kuna behewa zima la wasiopnipenda humu JF. Vituko!

Halafu mbona alinipunja.....manake listi ya mademu ambayo huwa inasambazwa ina majina kama 10.
Ha ha ha ha ha dem wako mmoja kahamia kwake ha ha ha hii thread imenifanya niwe cha umbea
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Oh kumbe naye hanipendagi? Ahahaaa....naona kuna behewa zima la wasiopnipenda humu JF. Vituko!

Halafu mbona alinipunja.....manake listi ya mademu ambayo huwa inasambazwa ina majina kama 10.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wabongo bwana wamchukia ngabu kisa.....

tatizo kakaa unatema sana yaii...swaga zile za mambele yaaanii!!
Alisema hakupendagi eti unajishaua ha ha ha ha ha ha ha, akasema na watu wawili ambao ni madem zako ushawagonga
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana wazimu!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] wabongo bwana wamchukia ngabu kisa.....

tatizo kakaa unatema sana yaii...swaga zile za mambele yaaanii!!

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ana wazimu!

Halafu ujue mambo mengine huwaga ni ya mzaha tu lakini kumbe wengine hutilia maanani.

Mfano ule msemo wa USA baby na vile vibendera...ule ni mzaha tu.

Lakini jinsi ambavyo baadhi ya watu hutokwa na povu inastaajabisha.

Sasa ndo unakuta mtu ananichukia kwa ajili hiyo.

Binafsi siwezi kabisa kumchukia mtu nisiyemjua.

Kwa mfano, hao wanaonichukia humu wana uhakika gani kuwa hawajawahi kukutana na mimi mtaani na tukapiga stori vizuri tu?

Akili za watu wengine bana...sijui zimekaaje tu.
 
Ama kweli huyo mtu kakukera maana sijawahi kukuona umekasirika hivi.

Nahisi ukiweza kumpata huyo jamaa unaweza hata kumniga na kumparua na kucha.......ukisaidiana na K[emoji3]
Mshaurini mwanaume mwenzenu asiishie kukua mwili na miaka tu... Akue na akili
 
watajua wenywe mm siogopi wasambaziane wakichoka wakalale

"PM Alert"

'Shunie kaliwa Ngabu halafu akapewa dola mia mbili na manukato ya Chanel Mademoiselle' πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

'Halafu Ngabu akaingia mitini na mdada kabaki kutukana tu'

Hahaaaaa natania tu hapo...ila usije shangaa ukapewa habari kama hizo siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…