Wanawake wa JF, kwanini mnatumia avatar za porn star? Naomba sababu

Mleta mada embu leta ushahidi, acha maneno, ,ila kuna wengine umewasingizia mpaka MUNGU anashangaaa
 
Si unalog out ili uweze kuona au na app wanaiban pia?
 
Umewachoma hadharani wenzako walikuwa wanajiongeza kimya kimya,wanaojua avatar huenda PM kujiongeza
 
Pole kwa tuhuma sky,, ujue nakuheshimu sana , sasa kwa tuhuma hizi dadaangu inabdi umwambie bwana Aleppo akutake ladhi la sivo itakushushia heshima uliyonayo humu jamvini…!!
Mkuu nilishtuka kuona jina langu hapo, lakini hatuwezi kuwa wote tunafikiria vitu sawa ndiyo maana kuna warefu na wafupi, weupe na weusi na wanene na wembamba.
 
Pole kwa tuhuma sky,, ujue nakuheshimu sana , sasa kwa tuhuma hizi dadaangu inabdi umwambie bwana Aleppo akutake ladhi la sivo itakushushia heshima uliyonayo humu jamvini…!!
Kweli kabisa mkuu.
Ila mleta ana kitu anakilenga zaidi ya hizo tuhuma ushuzi.
 
Katika hiyo porn site ulifata nn???


Au nawe ulienda kuchagua avatar??
 
Aleppo Aleppo inaelekea una ugonvi na baadhi ya watu. Kama kweli ulikuwa na kusudi la kushughulika na hao watumiaji wa hizo avatar hakukukuwa na sababu ya kutaja wengine na kukiri kuwa wameisha zibadilisha, why mention them anyway. kweli maisha ya ban yalikuwa magumu kwako, ukaona pa kujiliwaza ni porn sites. Yamkini uliyoyaona huko yamekuvuruga, unaporudi tena jf inabidi utulie kwanza ili kusoma mwenendo kuepuka ban nyingine ambayo nadhani itakufanya uwe member wa porn site wa kudumu.
 
[emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468] [emoji468]
 

kuna mmoja alikuwa na avatar nzuri mpaka midume ya huku ikaanza mara njoo pm, ntakufuata pm mara pm inahusu.

sasa niliiona avatar yake kule porn site nikashanga aisehhh

wazibadilishe wawe kama miss chagga Numbisa na wengineo
 
jamani mchukulieni maskini mtoto wa watu..huenda hazimtoshi masikini..ila ni vyema kuweka avatar yako mwenyewe ili kuondokana na aibu za namna hii...samahani kama jina lako ameliandika huyu mkosa adabu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…