My Sons Legacy
JF-Expert Member
- Feb 4, 2019
- 3,592
- 11,810
Ndio Mkuu naelewa na hayo yapShauri yako mkuu.
Mazingira haya haya kuna watu wamepata kazi humu, kuna watu wameoa na kuolewa humu humu, kuna watu wamepata mtoto/watoto humu.
Jidanganyeni tu
Kama unaweza kubadili,badili tu.Duh!!! Basi ngoja nifanye mchakato wa kubadili jina, nakosa vingi humu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahahahahaahahhahaha!
Bro me nakunywa chai hapa bhana usitafute nkapaliwa bureeeee. Nakushindaje wewe kwa mfano?? Mimi ntakutajia ID nlizozi-PM na hazijanijibu
Hahaha vizuri kabisaPia wale expert wana katabia ka kuja na Id mpya mbili mbili..
Binafsi najibu Business oriented Messages.
Sasa mtu anakuja na gia ya kutokutaka kujua vyote hivyo unavyosemea hapo. Nani atamjibu sasa.Me nashindwaga kuelewa kabisa kabisaaa
Hivi kwa Mazingira haya ya anonymity JF mtu anapata wapi cha maana cha kuja nacho PM ???
Hajui unapokaa,
Hajui kazi yako
Tena kwnye Mada za biashara haupo
Hajui Anything kuhusu Wewe
Hiko cha Maana anakitoa wapi ili aje nacho ??
Tuelewane Hapa msiseme cha Maana semeni SWAGGER
Yeah Aje Swagger Kali
Hakuna cha Maana cha kumleta mtu PM hapa JF regardless mamb ya biashara
Unashindwa Cha kumjibu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.
Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!
Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.
Nyie ndio kimbilio letu hapa JF
Sent using Jamii Forums mobile app
πππ Wacha kuniangusha Mtani.Bro unaonekana umekwiva kwenye sekta ya PM.
Sijui sisi tunafeli wapi.
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
OkNdio Mkuu naelewa na hayo yap
.
ila Swala la kusema unifate na cha Maana PM hali ya kua Haup katika mazingira hayo inakua Ngumu
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.
Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.
πππ Wacha kuniangusha Mtani.
Mwanangu hali ngumu huku, today tuna meeting na minister of tourism kwa ile issue alipost Zitto. Let's seeMimi hapa nachukua points bro, ili nikienda iwe moja kwa moja.
Sitaki kutuma PM isijibiwe.
BTW vipi corona huko mkuu? Jana nilikuwa naongea na dreva taxi mmoja wa huko anasema biashara ni ngumu sana sasa hivi.
Itakuwa nina mambo ya kizamani labda.