Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Shauri yako mkuu.

Mazingira haya haya kuna watu wamepata kazi humu, kuna watu wameoa na kuolewa humu humu, kuna watu wamepata mtoto/watoto humu.

Jidanganyeni tu
Ndio Mkuu naelewa na hayo yap
.
ila Swala la kusema unifate na cha Maana PM hali ya kua Haup katika mazingira hayo inakua Ngumu
 
Hahahahahahahaahahhahaha!

Bro me nakunywa chai hapa bhana usitafute nkapaliwa bureeeee. Nakushindaje wewe kwa mfano?? Mimi ntakutajia ID nlizozi-PM na hazijanijibu

Mimi hapa nachukua points bro, ili nikienda iwe moja kwa moja.

Sitaki kutuma PM isijibiwe.

BTW vipi corona huko mkuu? Jana nilikuwa naongea na dreva taxi mmoja wa huko anasema biashara ni ngumu sana sasa hivi.
 
Me nashindwaga kuelewa kabisa kabisaaa
Hivi kwa Mazingira haya ya anonymity JF mtu anapata wapi cha maana cha kuja nacho PM ???
Hajui unapokaa,
Hajui kazi yako
Tena kwnye Mada za biashara haupo
Hajui Anything kuhusu Wewe
Hiko cha Maana anakitoa wapi ili aje nacho ??

Tuelewane Hapa msiseme cha Maana semeni SWAGGER
Yeah Aje Swagger Kali
Hakuna cha Maana cha kumleta mtu PM hapa JF regardless mamb ya biashara
Sasa mtu anakuja na gia ya kutokutaka kujua vyote hivyo unavyosemea hapo. Nani atamjibu sasa.

Hamna cha swaga wala nini hapo na ndio sababu wapo wanaojibiwa PM kiroho safi tu wakati hata hizo swaga hawana.
 
Kweli wewe tajiri wa UPENDO
Ni kwanini wanawake wa Dar hawapendi kuvaa nguo ya ndani? - JamiiForums
Nimeenda PM kwa wanawake 29, mmoja tuu ndio nilimwambia mambo akajibu "kwa yesu!" wengine wote wapo kimya, nioneeni huruma nahitaji upendo wenu, wadada wa jf nawapenda sana jibuni meseji.

Nipate hata mmoja wa kupiga nae story tam tam namimi najua kupenda haswaaa!!

Halafu nikionaga tuu jina la dada ya jf kuna kaharufu kananijia puani inaonekana muwasafi na wazuri na mna ladha nzuri sana, nahitaji kampani yenu.

Nyie ndio kimbilio letu hapa JF

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanakosea sana.
Mimi sitafanya kosa hilo lazima niheshimu na kuendeleza convo[emoji23]
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aaaa Paula Paul, huwezi kufanya vyote kwa panoha, mengine huwa tuna pima upepo ndipo tufunguke, hii inategemea na mapokezi yako
Hii comment imenifanya nicheke.
Asante kwa kuleta cheko usoni kwangu.

Hata mimi napenda mtu anayeenda moja kwa moja kwenye point. Namaanisha msg yake ya kwanza iwe na salamu na dhumuni la kunitafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😂😂😂 Wacha kuniangusha Mtani.

Mtani uzee ndiyo unaniangusha mimi.

Maana sisi tumeshazoea kupeana salamu kwanza, kuulizana umeamkaje, majirani, ndugu, kuulizana hali ya hewa, bei za mazao na mifugo, mnada uliopita ilikuwaje nk

And then ndiyo swala la msingi lifate, sasa inaonekana hamtaki hizo mambo.
 
Mimi hapa nachukua points bro, ili nikienda iwe moja kwa moja.

Sitaki kutuma PM isijibiwe.

BTW vipi corona huko mkuu? Jana nilikuwa naongea na dreva taxi mmoja wa huko anasema biashara ni ngumu sana sasa hivi.
Mwanangu hali ngumu huku, today tuna meeting na minister of tourism kwa ile issue alipost Zitto. Let's see

Ila yote kwa yote kila kitu kitakuwa sawa
 
Hizi comments zimenigusa walaqhi maana naona kama nimefit kote, kupotezea PM za watu, Mimi mwenyewe kupotezewa na kubwa zaidi kupata marafiki wenye faida na pasua vichwa pia,

Hivyo PM kwangu zina historia ya kipekee haqyamama.!
 
Back
Top Bottom